Kikosi cha Dar es Salaam Young Africa.
kutoka kushoto juu Salum Kabunda Ninja, Conatantino Kimanda, Nyanda Steven Nemes, Keneth Mkapa na Seleman Mkati.
Walio chuchumaa kutokea kushoto Chini. Ni Nicko Bambaga, Sekilojo Chambua, Edibily Jonas Lunyamila, James Tungaraza na Striker Said...
KINGINE TOKA KWA GANG CHOMBA…
Nyota wa zamani wa Real Madrid Hugo Sanchez aliifungia timu hio magoli 38 katika msimu wa miaka ya 1989/1990.
Sasa ni hivi, katika magoli yoote hayo ambayo mwamba alitupia kambani alifunga kwa FIRST TOUCH.
Lakini umwamba wake msimu huo ulikoma Siku walipotua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.