Recent content by Gana

  1. Gana

    Serikali kama Elimu Bure imeshindikana semeni wazazi tuendeleee kulipa ada ya shule kama zamani

    Achana na wanasiasa elimu haijawai kua bure.. ata mitume na manabii walipambana kuitafuta elimu
  2. Gana

    Mwanamke aliniharibia kabisa maisha yangu, hawa viumbe hatari sana

    Nilikua kwnye bwawa la umeme rufiji (JNHPP.).. kule lazima upambane mkuu hakuna namna!..
  3. Gana

    Tofauti ya maneno haya kwenye taaluma ya macho ni nini?

    Shukran je optometrist anaweza kua ophthalmologist? Au ni field tofaut
  4. Gana

    Tofauti ya maneno haya kwenye taaluma ya macho ni nini?

    Shukran je optometrist anaweza kua ophthalmologist?
  5. Gana

    Tofauti ya maneno haya kwenye taaluma ya macho ni nini?

    Tofauti ya maneno haya kwenye taaluma ya macho ni nini? 1. Optician 2. Optometrist 3. Ophthalmologist ● Je, optometrist anaweza kua ophthalmologist? ● Kwa hapa Tanzania ni vyuo vipi wanatoa izo course & kwa hapa TZ ipi ina soko zaid optician, optometrist, ophthalmologist
  6. Gana

    SKYWORTH , TCL , HISENSE nichague ipi?.

    Poa mkuu nimekusoma
  7. Gana

    SKYWORTH , TCL , HISENSE nichague ipi?.

    Habar za muda huu wakuu!. Kama inavyoonesha hapo juu kwa izo brand 3 1. SKYWORTH 2. TCL 3. HISENSE nichague ipi kwa ajil ya matumiz yangu ya gheto .bajet yangu ni TV [emoji342] ya inchi 50. Mimi napenda vitu vizuli na Nilitaman kumilik moja kati ya izi brand kwenye upande wa TV. 1. SAMSUNG...
  8. Gana

    Je Ishawai kukutokea?

    Jieshim
  9. Gana

    Je Ishawai kukutokea?

    Unakuta bado hujasamehewa ukiomba tendo anakupa baada ya kumaliza ndio msamaha unafata
  10. Gana

    Je Ishawai kukutokea?

    Vip hii kitu ishawai kukutokea.. binafsi imenitokea mara 3 kwa wanawake tofaut tofaut na mpaka leo sijui kwa nin inakua ivo. Ni ivi unakuta demu umemkosea na ukiangalia kweli haujamtendea haki basi kidume unaanza kujishusha na kuomba msamaha!.. ukiwa katika harakat za kuomba msamaha...
  11. Gana

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Uo ndio uanaume kuna siku utapewa mbususu bila ya kelele na mambo mengne mazuli yakafata..
  12. Gana

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mida hii nipo night shift mara mlango unagongwa nashtuka mlinzi huyu apa na kombati zake... Mimi - vip Mlinzi - safi tu Mimi - kuna mgonjwa opd Mlinzi - hakuna Mimi - kuna emergency wodini Mlinzi - hakuna Mimi - kalibu ndani! Mlinzi - kimya Apa nikasema " silence means yes " nikavuta...
  13. Gana

    Youtube downloader for Android

    Kama unatumia android ingia chrome au search engine yoyote download app ya SEAL apo utakua una download video yoyote kutoka kwnye social media yoyote
  14. Gana

    Nataka kusomea kozi ya Operation of Harbour (Mobile Harbour Crane and STS)

    Kazi nzuli sana io maeneo ya kazi sio bandalini tu ata kwenye miradi uwe tu na connection
Back
Top Bottom