kinachoendelea chadema ni unafiki na kuminya demokrasia, kama zitto hakubaliki hivyo kwa nini njama nyingi kumzuia asigombee uenyekiti na urais si mngeitisha mapema ashindwe na afe kisiasa. mbowe slaa woga wenu unaua chama
ni vyema kabla ya kutoa maoni na mapendekezo ukasoma katiba, waziri mkuu atatokana na wabunge wa kuchaguliwa na wananchi na sio wakupewa na rais kishikaji. muhongo au muongo hana jimbo
tundu na minyika wanahaha tu, uwezo wa kumuondoa zito hawana. eti waraka upo kwenye laptop hata sheria ya ushahudi hajui eti ni mwanasheria mkuu chadema. kinachomtisha mbowe kugombea na wenzake ni nini. alianza kaburu akastuka kabla hajafa akaanza, kaja chacha wangwe kadedi. cdm hakuna...
chadema kimejaa watoto sana, nina wasiwasi sana na weredi wa viongozi na makada wake. watanzania ni vyema tukatafuta chama mbadala cha kushindana na ccm kushika dola .hawa ukiwapa serikali wataparaganyika siku moja kwanza most of them ni past criminals.
hii inaonyesha jinsi gani Dr. Slaa alivyo na uwezo mdogo wa kufikiri na kutenda, kwa swala la Kagame ka weka siasa mbele na chuki yake dhidi ya JK, itashangaza akimpenda JK lakini kwa hapa alitakiwa aweke utaifa na uzalendo mbele. JK alitoa ushauri tu na haikuwa amri. Kagame kaziba mianya yote...
Maoni yako haya shangazi sana ndio imekuwa Malengo ya chadema kuzusha vurugu ili kuharibu taswira ya Tanzania kimataifa. Mkumbuke ghiliba zenu haziwasaidii hata Kidogo. nchi hii kamwe haitaongozwa na shehe au padri mnajisumbia bure. Obama na wakubwa wengine watakuja tu kwa sababu Jk katuposition...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.