Recent content by game over

  1. game over

    Ushahidi: Tanzania inaongozwa na Viongozi Wasio na Sifa za kuwa viongozi

    When Guns are outlawed, Outlaws gets the guns first. Bad guys with guns shoots people on faces. It only takes a good guy with a gun to stop a bad guy with a gun.
  2. game over

    Ushahidi: Tanzania inaongozwa na Viongozi Wasio na Sifa za kuwa viongozi

    System, Bad system destroys even the good ones, crooks find ways into leadership.
  3. game over

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kwamba hili nalo linahitaji approval ya watu wa mataifa mengine .
  4. game over

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    meanwhile, Kenya premier league. Hatari.
  5. game over

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hapana mkuu, Mbona Gabon na Angola wanachimba na wanauza wese peacefully
  6. game over

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Lamu? Jinga lingine low iq detected, Ulienda shule kweli ? Wewe asili yako ni kabila gani ? Mimi ni mbantu and I can easily relate lots of swahili words with my tribal language.
  7. game over

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kwamba ukienda uarabuni unawezaongea kiswahili ukaeleweka? Jinga sana, Sifa mojawapo ya Lugha yotote duniani ni Kuwa Lugha hutohoa maneno toka Lugha nyingine. Kiswahili kimetohoa baadhi ya maneno toka kwenye Lugha nyingine zikiwemo Kingereza, Kijerumani nk. Hata hivyo predominately Kiswahili ni...
  8. game over

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Ila wakunya buana, yaani mji Upo highland na bado mafuriko ni fungu Lao. Wangekuwa dar hawa si wangeangamia kabisa .
  9. game over

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Habari njema sana kwa Namibia. As we speak Namibia ni Nchi iliyoendelea , watu wana maisha mazuri sana, Sipati picha Hawa jamaa wakianza kuchimba wese. Hakika In Just 10 years watakuwa kama Norway. Kwa ujumla nchi za SADC ziko vizuri. Ufukara unaanzia huko Kunya kupanda huko Ethiopia, Sudani ya...
  10. game over

    Ushahidi: Tanzania inaongozwa na Viongozi Wasio na Sifa za kuwa viongozi

    Ndugu zangu, Nawasalimu. Kwanza nianze moja kwa moja kwa kuorodhesha baadhi ya sifa za mtu asiye na hadhi ya kuwa kiongozi. 1. Hulazimisha Kukubalika na kila mtu. 2. Hana maono . Tatizo kubwa sana hili 3. Hujipendekeza kwa Wanadamu. Hana msimamo, hajui anasimamia nini. Msimamo wake...
  11. game over

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hahah, ila haya majamaa ni matutusa, sasa anakuuliza yeye kama nani ? Yeye ni waziri wa kingereza wa UK ? Ni fedheha kwa waafrica.
  12. game over

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Sasa kati ya TZ na Kunya nani ana shida ? Maana as we speak hamuelewani na jirani yeyote. You don’t get along with Somalia, Uganda, Ethiopia, South Sudan.. afadhali Hata Tz tunaustahimilivu juu ya Tabia zenu za Hovyo. Ethiopia huwa wanawapelekeaga tu moto. Ukweli usemwe. Mna tabia za Hovyo.
  13. game over

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Halafu kazi yenyewe ya kwaida sana 😀😀😀
Back
Top Bottom