Sitaki kuwatetea mapolisi, nadhani hicho kinachofanyika si muongozo wa Jeshi hilo, hiyo ni tabia YA huyo askari/hao askari,
pia nadhani wana kanuni zao za maadili Ndani YA Jeshi hilo.
tunajua kazi yao kubwa na dhamana waliyopewa ni kulinda Usalama wa raia na mali zao na si vinginevyo,
kupata...
Tatizo lipo kubwa sana licha YA miundombinu YA barabara kuwa NA changamoto zake lakini pia uzembe wa madereva unachangia kwa kiasi kikubwa sana.
laiti kama wangezingatia matumizi sahihi YA barabara sidhani kama haya yangetokea.
muda wa kusimamiwa umepita okoa roho yako na YA abiria uliowabeba...
Ni mtazamo tu tumetofautiana,
pitia MAFUNZO YA JKT ili uwe mzalendo wa kweli,
pia hata kama utopitia mafunzo hayo kuwa NA taadhali Hasa onyo linapotolewa
wakati wa hatari.
Angesababisha maafa katika familia yako nadhani ndiyo ungetambua vizuri,
lakini kama kweli angefanikiwa kuwatoroka angeenda kujipangaje?
angesababisha maafa YA namna gani?
huyu bila shaka alishaamua liwalo na liwe sasa limekuwa.
Eenh! Ndiyo utaratibu gani huo lakini inawezekana hata wewe unamapungufu na ndiyo maana mwenzio akipiga kamoja analala.
umbadilishii nyimbo, jingle zilezile tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.