Takwimu na hoja zako ni chanya na za kujenga nyumba moja bila kunyang'anyana fito. Timu nzuri ya mchezo wa kupokezana kijiti (relay) , kila apokeaye kijiti, kasi yake inataikiwa kuwa zaidi ya aliyemkabidhi kijiti. Ikiwezekana ongeza wigo wa takwimu zako kuanzia awamu ya pili. Je kila rais wa...
G Sam,
Hoja yako ni njema lakini ingekuwa na nguvu zaidi ungejadili au kujibu hoja za “devils’ advocates”
1. Kivukoni kina chukua muda gani kuvuja abiria na mizigo, hufanya kazi saa ngapi kwa siku, magari mangapi na abiria wangapi kuvushwa kwa siku?
2. Magari ya abiria yatachukua muda gani...
Wakati Mh Zito ana Ansila hoja yake utekelezaji wa “local content” ulikuwa haujafahamika kwa wengi. Bade
ya kufufua TRC na kuanzisha TRC Reli Tv taarifa za utekelezaji zinapatikana kwa urahisi. Taarifa ya TRC kupitia tv yake inabainsiha mahitaji ya sementi, nondo na kokoto kwa ujenzi wa...
Bw. Yericko. Wewe ni mwanachama na kiongozi kwenye muundo wa uongozi wa CHADEMA. Uchaguzi wa 2015 CHADEMA kilimpitisha Lowasa kugomea Uras bila kufuata katiba ya chama. Ulikikosoa chama chako au uliafikia na uamuzi uliofanya Mlimani City? Labda CCM wameiga utarabu wa CHADEMA ambao haukupingwa...
Herd immunity is altruism well demonstrated in wildebeest as depicted in the attachment. They have to cross the river for pastures and safe breeding grounds. If not they will die in large numbers and few calves will survive.
Kila mmiliki wa chombo cha habari huwa na ajenda yake ya kutetea na kuimarisha masilahi yake. Waajiriwa hasa wana habari ni waigizaji wa mchezo ulioandikwa kwenye sera na mmiliki wa chombo cha habari. Waigizaji mashuhuri huwa hawa wakilishi vitendo na mawazo yao bali ya "mwandishi". Walioona...
Vita vyote bila kujali ukubwa na muda wake pamoja na ile vita fupi kuliko vyote duania (dakika 30) kati ya Zanzibar na Uingereza, vilianza kwa maneno na hatimaye vitendo. Tuombe tusifike huko kwenye hii vita ya maneno kati ya nchi zetu hizi mbili. Hekima na busara zitawale.
Rais kwenye hotuba yake amesema waziri wa afya atatoa taarifa ya kamati aliyounda. Hoja zako zitajibiwa au la kama yafuatayo hayatakuwa kwenye taarifa hiyo:
1. Mashine za kupima corona zilikuwa na kasoro na kupata zingine
2. Mashine hazikuwa na kasoro bali wataalamu hawakuwa na weledi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.