Recent content by gambada ynwa

  1. gambada ynwa

    Nimekunywa bia ila nimekutana na uchafu

    Kwa hiyo mkuu nishakua zezeta tena?
  2. gambada ynwa

    Nimekunywa bia ila nimekutana na uchafu

    😂😂😂😂 we mzee
  3. gambada ynwa

    Nimekunywa bia ila nimekutana na uchafu

    Tatizo linaaanzia hapo sasa😂😂
  4. gambada ynwa

    Nimekunywa bia ila nimekutana na uchafu

    Wakuu kwema? leo katika harakati zangu za kupoza mwili nimekutana na bia chafu balaa. Hivi naweza vipi kupata msaada wa kisheria maana nimekunywa moja imefika nusu nikaona uchafu. Kutazama nyingine nayo chafu. Naweza vipi kuwasiliana na wahusika?
  5. gambada ynwa

    INAUZWA Sea piano radio for sale

    Hapana mkuu unaijua wewe tu
  6. gambada ynwa

    INAUZWA Sea piano radio for sale

    Wakuu nauza hii sea piano yangu bei nzuri sana. Bado kama mpya na haina tatizo lolote. Bei ni Laki mbili na nusu (Tsh 250,000). Maongezi yapo. Ipo Kivule- Mwembeni 0785220408
  7. gambada ynwa

    Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

    Yaani kuna siku nilikutana na huyu mnyama huko Asia daahh nilipigana nae hatari hadi nikamuua japo alinijeruhi sana
  8. gambada ynwa

    Nahitaji freezer kwa bajeti ya Shilingi 300,000/=

    Wakuu nahitaji freezer iwe mpya au used lakini isiwe na tatizo lolote lile. Bajeti yangu ni 300000 lakini iwe mwanza au musoma. Kama kuna mwenye nayo anicheki kwa 0758652954
  9. gambada ynwa

    Mwanasayansi anasema dini ni ugonjwa wa akili

    Ingekua ni mtihani ungepata 0.001% yeye anaongelea uhusiano kati ya dini na ugonjwa wa akili lakini wewe unaongelea uwepo wa Mungu. Kwamba sisi tusioamini katika dini zenu za kufikirika ndo hatuna mungu? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. gambada ynwa

    Shule yaridhia mwalimu aache kazi kwa kudaiwa shoga

    Mkuu umemuona ndugu yako huyo... Mi mapema tu nilimshitukia asee
  11. gambada ynwa

    Tunafanya flashing, unlocking and repair kwenye simu

    Nahitaji mtu wa Ku unlock iphone 4s ili iweze kusoma line za hapa tz.
  12. gambada ynwa

    Nimekuta hiki kitu kwenye sim ya mama watoto.nifanyeje?

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu utanivunja mbavu
Back
Top Bottom