sim yangu haikuwa na credit nikamuomba ya kwake ili nimpigie mtu ile tu naanza kuingiza namba text naya ikaingia nikaona isiwe shida ngoja niisome aiseee...niligair hata kupiga simJamani ulikua unatafuta nini katika simu ya mkeo????????
HIYO K ITAKUWA INAMAANISHA KACHORI MKUU
roho inauma balaa natafuta tu ushahidi wa kutosha alafu nimuoneshe habari
mkuu utanivunja mbavunisikilize kwa makin ushauri wangu cha kufanya we muue mkeo halafu unywe sumu au ujinyonge usipoweza kujiua kimbia mstuni au maporin anza kuish kama Tarzan huyo kashakusaliti
Pole mkuuu kuchapiwa ni siri ya ndanisim yangu haikuwa na credit nikamuomba ya kwake ili nimpigie mtu ile tu naanza kuingiza namba text naya ikaingia nikaona isiwe shida ngoja niisome aiseee...niligair hata kupiga sim
Kama una uhakika usichelewe wala kupoteza muda mpeleke kwao kamwache huko na asijue kama unaenda kumuacha.Full stop.ni ujumbe wa message ukisema
"ivi iyo k umeweka nn mbona haishi utamu"?
nimenukuu,