Inasikitisha sana maana Wizara ya elimu haikutoa mchango wowote, na waziri wa elimu Ndalichako akaenda akala,
na akakilimiwa kwa michango ya wananchi, Wizara ya Tamisemi nayo haikutoa michango waziri Simbachawene
naye akaenda akakirimiwa na michango ya wananchi, Makamu wa Rais naye hakutoa...
Mnao mtetea huyo kutohudhuria msiba mnajidanganya na mna mawazo ya hovyo, na ya kipumbavu
huu msiba ni mkubwa sana, ndiyo maana mnaona umetangazwa dunia nzima na
mnaona wanao jali kama Uhuru Kenyatta alitoa salaam,
za rambi rambi na akatoa statement na watu wakasimama dk moja, akamtuma waziri...
hivi nyie watu wa Lummumba mna elimu gani? hivi wewe Lizaboni hivi ulimaliza kweli hata elimu ya msingi?
mbona nina wasiawsi na uwezo wako???????????????????????????????????????????????????????????????
Wote ni masalia ya CCJ na Mwakyembe ndiye kiongozi wa sasa wa CCJ baada ya Sitta kufariki
kwa hiyo hawana chuki miongoni mwao, angekuwa anamkabithi Bashite ndiyo ungeona hizo ndita.
Hawa watu ni vilaza wote, kuanzia magu, ndugai na kakoko, siyo weledi ni watu wanapenda kutumia nguvu
badala ya akili. acheni kutafuta kiki juu ya hili maana hii si haramu na wala siyo utoroshaji na uwezo wa kuchenjua siye hatuna hata baaada ya miaka kumi ya magu na hiyo hasara msitake...
Mayalla acha njaa kama jina lako lilivyo, hiyo najua unatafuta kiki kwa Magu ili uchukue nafasi ya Bashite
jitahidi unaweza kufanikiwa maana hata Tizeba alimrithi kitwanga ambaye ni msukuma mwenzake piga jalamba
unaweza ukalamba dume. Lakini ujue nduguyo safari ya Kolomije imefika ni afadhali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.