rekebisha makosa ccm ifeWatanzania tumeibiwa sana. Huu ni wakati wa kurekebisha makosa yetu
rekebisha makosa ccm ifeWatanzania tumeibiwa sana. Huu ni wakati wa kurekebisha makosa yetu
ACACIA MUST GO. WAONDOKE: TUNAJUA WANA NGUVU YA KIFEDHA NA WANAWEZA KUMRUBUNI YOYOTE BUT THIS TIME LAZIMA TULALE NAO MBELE. Hakuna Mchanga Kwenda Nje ya Nchi, Hawataki - WAONDOKEBodi yao ina mtanzania mmoja tuu anaitwa balozi Juma Mwapachu
Tazama hapa chini:
Board of Directors
Huyu naona ndio kiungo chao Tanzania na mambo ya Government relations etc. Sijajua ana shares ngapi hapo Accacia (hakuna dhambi kwa Mtz kuwa shareholder) lakini inawezekana vipi hii kampuni iwe isha operate Tanzania kwa zaidi ya miaka 2 owe imejaa wazungu na foreigners kwenye hiyo bodi?
Sasa ukija kwenye menejimenti yao utashangaa zaidi kuona kuwa mtanzania ni mmoja tuu (Deodatus Mwanyika) na kazi yake ni hiyo propaganda aka PR. Hivi mnataka kutuambia kuwa hakuna watanzania waliosoma na wenye uwezo wa kufanya hizi kazi wanazofanya hawa wazungu?
Menejimenti hii hapa:
Management Team
Huko kwenye migodi yao sijajua nafasi wanazo nani lakini wana JF mkae mkijua kuwa hili tatizo sio ACACIA MINING pekeee bali ni makampuni mengi makubwa ya nje yanayo operate Tanzania.
Sasa ngoja ninny kwenye makampuni ya oil and gas ili mpate kuona tulips kama nchi. Yaaani kazi za kufanywa na wa Tanzania tena ambao ni wana experience, capable, competent na wana elimu zinafanywa na wageni na vibali vinatoka.
Kuna umuhim sana tukawa na sheria ya uwezeshaji wazawa au local content ama sivyo hali itazidi kuwa mbaya zaidi ya tuliyonayo kwa sasa.
Hawa wazungu wakija wanweza kuwa mabosi si chini ya miezi 6 kisha waondoke ili wazawa wafanye kazi zao. Hii inawezekana sana ni kuthubutu tuu
Bashite toa vyetiWatanzania tumeibiwa sana. Huu ni wakati wa kurekebisha makosa yetu
acha upoyoyo Mkuu vinginevyo labda sio Mtanzania wewe....na wao kama kampuni zao mali na hawataki kufuata sheria za nchi kuhusu uwekezaji basi wangewekeza huko huko kwao wanapotoka acha kutudharau watanzania.Sasa kampuni yao, wameianzisha wao kwao huko. Huyo Mwapachu wamemuweka kwa sababu kuna sharti .
Hiyo PR wameona ni strategic choice kumuweka Mtanzania mwenzetu, ikibidi hata Kiswahili aongee nasi.
Unataka kuwapangia?
Kwa nini usiseme hao Watanzania wenye uwezo wajiunge waunde kampuni yao?
Kwa nini unataka sana Watanzania wapewe kazi kwenye makampuni ambayo si yao, tena top management.
Kwa nini unawapangia watu nani wa kumuajiri? Kwani wao wanakupangia wewe?
Wewe ibane serikali ichukue kodi, iwabane wafanye social development program kusaidia jamii za karibu hapo. Iweke labor laws kuhakikisha wanaoajiriwa kutoka nje ni essential staff na top management.
Ungekuwa na point sana kama ungesema wameleta mpaka madereva wazungu sisi waafrika tumekosa hata udereva wakati sheria za kazi zinasema haitakiwi kuwa hivyo.
Lakini wewe unalalamikia top management kuwa watu wa kwao? Kampuni ya nje?
Hata sijakuelewa bado.
Tengeneza kampuni yako.
Acha kutamani za wenzako ambazo zishatengenezwa.
tapeli mkubwaALIKIBA SIYO MTU MZURI CHEKI ALICHOMFANYIA DIAMOND PTC Bank - Earn Money In Seconds !!
Tumeibiwa nini?Watanzania tumeibiwa sana. Huu ni wakati wa kurekebisha makosa yetu
Issue hapa ni local content participationKwani ACCASIA ni shirika la Umma? Sidhani kama wanaajiri Kwa kuangalia utaifa, wenzetu ni Result oriented
Hapo ndipo tujiulize, kama anaweza kuwagharamia hao na bado akapata faida, anafanyafanyajeIssue hapa ni local content participation
Haiwezekani Manji alate secretary kutoka filipino kuja kufanya typing pale Quality Group huo ni wazim
Kampuni ya wenzio unataka wajae watz, washauri wabongo nao waanzishe zao ili wajazane huko....nyerere aliwaanzishia makampuni kibao mkayaua na hizo shule zenu sasa naona unata mjazane mkayaue...halafu muanze kutafutia PhD kwa kuandika paper kwanini yamefail.
CCM inabidi iombe radhi kwa watanzania kwa kutufanya tuibiwe muda miaka yoteWatanzania tumeibiwa sana. Huu ni wakati wa kurekebisha makosa yetu