Recent content by Gallijembe

  1. G

    Nahisi mama mkwe ana mpango wa kumaliza ndoa yangu

    Mkuu ikiwa sio halali inaleta shida kwa mama mkwe coz kama mama mkwe ni jeuri na anajua tabia mbov ya binti yke jamaa ataishia kutukanwa na kejeli, lakin kama yuko serious issue ni kuuliza na kutambua kinachoendelea somtym kutake risk inafaa bila kujali umuhimu wa kitu chenyewe sasa kwa maelezo...
  2. G

    Nimemtafutia kazi sasa anakataa kutoa penzi kwa bosi, mimi nimfanyeje?

    Dah cjajua fikra zako zimebez wapi ila nnauhakika wew hujui tabia za unaemuita boss wake, mbali ya hilo uko tayar kabsaa huyo unaesema mdgo wko apate ukimwi kwa kijikazi kisicho weza hata kulea hilo gonjwa, acha aishi kwa misimamo yke asije kukunyooshea kidole kwa ushauri wko mbovu.
  3. G

    Nahisi mama mkwe ana mpango wa kumaliza ndoa yangu

    Kazi rahic tu kama alimuoa kwa ndoa halali, kwan amesahau kuwa mkewe yuko chjni ya mamlaka yake, mama mkwe ndo nani ana mamlaka ya kutoa taraka? Ni uoga tu au anahis kumpenda mpka anaogpa kumuuliza (chelewa utakuta mwana c wako), ushaur wangu ampeleleza kmya kimya wala haifiki mwezi akibaini...
  4. G

    Hivi kuna madhara gani ya kuitana majiana ya kimahaba wakati ndio mmeanza mahusiano?

    Itaneni baby, sweet, honey, my heart, my love na mengine yoooote ila sio busara (kwa mtazamo wangu) kumuita mpenzi wako Mama/Baba marufuku kabsaa. Baba / Mama sio nafasi ya kila mtu hyo ni yao wazazi wko au wenu tuuuu
  5. G

    Hivi wadada kama hawa wapo dunia hii?

    Mnawishe uso kwa sabuni ya mkaa, mtoe clown cape hyo kchwan ka hujaona afadhari umwelani kusiniiiii
  6. G

    Ukiambiwa na mpenzi wako muachane, inakuwa na maana gani?

    Mapenzi hawalazimishi muache aolewe na wew mpe nafasi msichana mwingine wako weengi wanatafuta nafasi ka hizoo (ila kupima muhimu)
  7. G

    Hivi Ali Kiba alistahili kuchukua tuzo 5 za KTMA?

    Mi nafikir hoja ni kwanin Ali K, siamin sana kama angekua Diamond zingeibuka hoja zoote hizi na inawezekana miongoni mwa wanaolalamika hawaja mpigia kura huyo Diomond hata kidogo, ukwel utabaki palepale kati yao nani alieimba nyimbo mchanganyiko (sio mapenzi tupu) kuliko mwenzake?, nani aliegusa...
  8. G

    Nilikuwa nasikia tu kwa wengine, leo yamenikuta

    Kila kitu ni jinsi ulivo kiendekeza na kukikaribisha moyon mwako, kunawanaoumia kupoteza wapenzi wao (hata ndoa hawajafunga) kuliko msiba wa ndugu zao. MAHABA MUUE ATUACHIE MPENZI WAKE SS SHEMEJI ZAKE TUDUMISHE UTARATIBU ALIOUACHA MAREHEMU.
  9. G

    Ushauri wa haraka, wazazi wamegoma kurudi kijijini

    Da pole yke man huyo, saivi likizo ajifanye ka amefukuzwa kazi hivi ale uso wa kazi kweli (huruma sio mahara pake) then awahimize warud wote na yeye (atagharamika nauli) hyo imewah kutumika ikafaa. Maana lyf ya Dar mixer ndgu ni soo kipato chenyewe magumashi
  10. G

    Kutembea na housegirl au kumtamani housegirl ni uchizi

    Vipi kwa mwanamke alie olewa kutembea na mtumishi wa ndani wakiume hii ni nini!!
  11. G

    Ni sahihi kujenga kwenye kiwanja cha mkeo?

    Si kuna 50/50 mkitimuana jenga tu, ila in case of mila na desturi kikwetu ni nonsense!!
  12. G

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Shikamoo inang'ang'aniwa saana na wazee.
  13. G

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Vyote kwa pamoja kuonekana kama mkaa!
  14. G

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Nachingwea nije nyanda za juu kusini idara sek ni pm
Back
Top Bottom