Nakubaliana na wewe sana Mtazamaji, kwamba jambo hili litazamwe katika maeneo yote kuanzia nyumbani, shuleni na makazini. Mimi nikubaliane na wewe kabisa hasa katika pointi ya wazazi. Tabia na mwenendo wa mtu yeyote hujengwa na makuzi yake wakati angali mtoto na mwenye kupenda kujaribu na...
Mi sihitaji kulijadili jambo hili kwani hakuna hata mmoja mwenye uhakika kwa 100% ila ushauri wangu kwa wanajamii wote kuwa, UKIMWI UPO NYUMBANI, SHULENI, VYUONI, MAOFISINI NA KATIKA MAENEO YOTE YA BIASHARA. Kitu muhimu ni kuchukua tahadhari wakati wote na mahali popote kwani UKIMWI hauna...
Thank you very much Gurta for the challenge and MaxShimba for the definition, you are all right. Me as well, have the same experience from primary and secondary schools. I experienced some slight changes at the stage of A-Level and em phased at collage level. The main solution for this is for...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.