Tatizo Lenu Ndugu Zetu Wa Kijani Mmekuwa Too Comfortable Kiasi Kwamba Hata Mtu Anapotaka Kukukosoa Unataka Awakosoe Kwa Kuwabembeleza, Hell No. Mtaambiwa Ukweli By Any Means Possible Hii Nchi Ni Ya Wananchi Wenyewe Sio Mali Ya Watu Wa Lumumba
Kwa Ninavyojua Wanashtakiwa Kwa Kuchochea Uhaini, Walitaka Kuvunja Serikali Isiyo Ya Kidini Na Kusimika Serikali Ya Kidini. Walitaka Zanzibar Iwe Dola Ya Kiislam Kamili
Of Course Atapotea Vibaya
Miezi Kadhaa Nyuma Alikuwa Anashindanishwa Na Diamond Saiz Amedhihirisha Wazi Kuwa Ligi Yake Ni Rayvanny, Wakati Yeye Anapambana Na Kiki Competitor Wake Anaendelea Kupiga Deals Na Yeye Anaachwa Way Behind...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.