Acha badi dharau kuwa na uhakika wa safari zako usione wengine wasio na uwezo wamependa!!!
Unaweza kukuta hata milioni kumi za dharura huna !! Mijitu kama nyie kichwani hamnazo!!!!
Kaa uandike kwa ufafanuzi vizur kwenye kichwa cha habari umetumia maneno ya udhaifu wa kimfumo, kuonekana matapeli, ila kwenye maelezo yako haielezi je huo udhaifu TRA wamekiri hivyo au ni wewe kisha unaonekana tapeli?
Ukiingia humu jipange kuelezea hoja yako ieleweke sio kulalamila huku...
Kwa vyovyote huna uzoefu na changamoto wanazopitia vijana ambao ndo wanaanza maisha na wanatokea familia maskini!!
Usihukumu wengine kwa vijisenti ulivyo navyo aidha kwa kupitia familia inayojiweza.
Nawasikitikia ila huwezi kuwahukumu ni mfumo umewakuta.
Mind you niko above 50 usidhani unachat...
Kakuambi ni wadogo bado wanasoma na kaelezea yeye ndo first born!!
Mtu kukosa kipato suo lazima awe na ulemavu.
Jaribuni kuvaa viati vyake.
Kuna maisha watu wanapitia na sisi tuliofanikiwa unaona ni sababu za azembe ila omba yasikukute.
Kuwa na lengo ambalo linakugjarimu muda wako kutafuta oesa ulitekeleze na hapa namaanisha kitu tangible cha kukuletea maendeleo ikishindikana weka mbadala jemga kibanda maana ulivyosema disemba hadi Feb umetumia karibua mil 1 huna matumizi makubwa ya kifamilia
Sasa mbona kama umejijibu mwenyewe hapa. Huyu unayemuona anapata hizi faida ni mwanamke na kuwa nazo ni lazima apate mwanaume amuoe ambaye ndo huyu unauliza napata faida zipi. Furaha ni kuwa na mwenza kwa pande zote so na mwanaume anafaidi pia kuwa na mwenza mwenye furaha na ndoa
Upande wa pili wa shilingi. Je unajuaje ni uchafu ulofanya ikabadilika rangi?
Ushawahi kuloweka nguo ya rangi kwenye jicky ya nguo nyeupe ukaona matokeo yake?
Uncle tambua kwamba hadi unafikia hatua ya kuomba malazi au msaada wowote kwa taasisi lazima.mhusika ajiridhishe na hoja zako.
Tanzania ya leo imejawa na watapeli wengi.
Kupokelewa kwako na kunatwgemea na maelezo yako!
Ukileta hoja za kiimani billa kujua sababu za wewe kuhitaji msaada wa kutaka...
Bwana Pascal swalhumimu ktk mchango wako ambalo ungehitajika kijiuliza kabla..ni hili je tunaweza kuzuia janga kutokea?
TOfairi na je tunaweza kuzuia maafa yasitokee?
Haya ni maswali mawili tofauti na yenye majibu tofauti.
Kinachotugharimu ni kuzuia athari za majanga/maafa yasiwe makubwa katika...
Hiki unachoongelea kipo katika utekelezaji wa muda gani nikimaanisha timeframe.
Si kwamba nafundiha namana ya kujibu swali ila.hili ni suala la.kiutemdahi umelijibu kisiasa siasa. Anachohitaji mwananchi ni mabasi yapo ya kutosha na huduma iliyo bora kuliko hapa ilivyo.
Yaani kampuni ina wasomi...
Umeandika
Moja ya vitu a,bavyo ni muhimu kwako Mleta mada linapokuja suala kam hili usiwe mrahisi kuweka nadharia zako kisha na kuaminisha wengine kisa tu huko nyuma ilikuwa imetokea hivyo.
Hata sisi tumeyasoma unayoelezea na kwa taarifa yako usipotoshe watu kuw Pengo alikiri kuwa wameamua ila...
Nimeanza kutilia mashaka uwezo wako wa kupambanua mambo. Hata hili hukulijua pia.
Simzungumzii mama kuhusu kuongiza kwake ila.hilo la mihula nalo hulijui kabisa! parthetic
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.