Recent content by G55-MGODI

  1. G55-MGODI

    No internet Connection, Kwanini wakati Data ipo active?

    Nenda setting then set upya APN
  2. G55-MGODI

    21st to remember. Tarehe 21 ya kukumbukwa.. A count down!

    Angalieni Linconmedia mda huu ashaanza kuongea tayari
  3. G55-MGODI

    Una ushuhuda gani kuhusu suluhu la matatizo ya uzazi kupitia waganga wakiengeji

    Njoo inbox nikupatie suruhisho mkuu, mie ni shuhuda juu ya hili nimepitia changamoto hiyo pia kwa mda mrefu lakini kwa sasa namshukuru mungu mambo yapo poa
  4. G55-MGODI

    Una ushuhuda gani kuhusu suluhu la matatizo ya uzazi kupitia waganga wakiengeji

    Njoo inbox nikupatie suruhisho mkuu, mie ni shuhuda juu ya hili nimepitia changamoto hiyo pia kwa mda mrefu lakini kwa sasa namshukuru mungu mambo yapo poa
  5. G55-MGODI

    Sema ukweli, ni kitu gani ukipewa hata sasa hivi huwezi kukataa

    Kinyeo....nakisambaratisha haraka sana
  6. G55-MGODI

    Waseminaristi tukutane hapa

    Makoko Kuna washikaji zangu kibao sana tulipita Sayusayu Seminary pamoja
  7. G55-MGODI

    Waseminaristi tukutane hapa

    Daaah wewe tutakua tunafahamiana kabisaa
  8. G55-MGODI

    Waseminaristi tukutane hapa

    Habari Wana jamvi.... Naamini jukwaa hili limebeba watu wengi sana , Leo napenda tushare taarifa na uzoefu mbali mbali hasa kwa wale wakatoliki wenzangu tuliosoma shule za seminary, binafsi nilisoma Nyegezi Seminary..... Unakumbuka Nini katika maisha ya shule seminary....
  9. G55-MGODI

    TANESCO, Je mnafuta Tariff Zero?

    Daaah hii inshu imenikumba Sasa itakuaje kama wakitutoa aisee, nilijua ni mistake tu imetokea kumbe kweli aisee ngoja tujipange upya sasa
  10. G55-MGODI

    Aibu kwa kampuni ya Cocacola, fanta ndani ina kisoda kilichokunjwa

    Yap mkuu natumia plastiki...na pia kitambaa kimesinyaa.....kama unaweza kubattle sema...hivi nimetafuta kwa jasho langu and am happy kwa maisha nayoishi.....Nina pesa tofauti na unvofikiria
  11. G55-MGODI

    Aibu kwa kampuni ya Cocacola, fanta ndani ina kisoda kilichokunjwa

    Sasa inakuaje soda mpaka inaingia sokoni Ina kisoda kwa ndani.
  12. G55-MGODI

    Aibu kwa kampuni ya Cocacola, fanta ndani ina kisoda kilichokunjwa

    Mawazo mfu sana haya....sijasema nahitaji kulipwa wala Nini, ila nimeweka kwa lengo la kujifunza hivi vitu, kwani ni mara ngapi unaweza nunua soda na kukuta chupa imepasuka kidogo mdomoni au kukuta kutu?
Back
Top Bottom