ndugu yangu cyo kwamba ni uongo ni kweli kabixa uliza kama una rafiki tanga au ndugu c rahixi kuamin mim nilivyokwenda nikaamini leo clouds pia wamelizungumzia hilo jambo ingia facebook kwenye page yao uta amin
huyo ndalichako cc madent katukaba kweli viwango vyake viko juu mno eti 34 ni F c balaa jamaan.kiufupi cyo sawa kuwafukuza hao wanachuo amekosea kabixa.
Cyo mbaya kuitwa jina la mahali kwan huyo nyerere tumuenzi mara ngapi mambo mengi hususani ya kimiundombinu ni yeye achenu fikra fupi.kutumia majina ya viongoz kwa wingi haina faida yeyote jina la mahali latosha hata cc tumechoka imekuwa kila kitu jina la mtu tunapoelekea mkoa itajaitwa jina la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.