Habari wadau , hope mu wazima.
Leo nahitaji munisaidie ufafanuzi kuhusiana na hili kuiwacha gari ingurume kama imelala muda mrefu kusudi wengine wanasema temperature ishuke lakin wengine wanadai ni kuifanya oil ipande kwenye mashine.
Sasa kuna ukweli wowote hapa? Na ikiwa hali ndio hiyo vipi...
Habari wanajukwaa!
Let's focus on our tittle ni kwamba tunaona kwa baadhi ya vyombo vya habri wanapofanya vipindi vya mahojiano tu, inakulazimu kubadili channeli maana unakosa kuvutia na unachokiona kwenye televisheni ama kukisikia kwenye redio.
Swali ambalo nakosa majibu rasmi ni nani chanzo...
Habari zenu wataalam,
Najua wengi wetu tumepiga hatua tulipo sasa baada ya kukutana na changamoto fulani huko nyuma ambayo imekua ni fursa.
Kuna kijana wa karibu nilikua namuona ana jitihada sana katika masomo ya habari (chuo kikuu) nilipojaribu kumuuliza ni kipi kinachomfanya awe bize zaidi...
Kwa utafiti upi?!
sometime kama huna cha kuandika tulia mzee ,"waungwana hawapendi kelele"
Ngoja nikupatie jawabu ambalo litaendana na hii thread yako dhaifu ya ku attack watu lakini utalielewa
Ukifuatilia
utamaduni wa wazanzibar umefungamana na matendo mengi ya dini ya uislam
Hivyo katika...
Jinsia yake na hata dini kwa sababu kuna sheria ki dini ambazo kwa mwanamke haopendezi kuonyeshwa basi inatosha tu kuonekana akishiriki katika maombi ya hadhara nayopia ni ibada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.