Recent content by g dex

  1. G

    Kwa nini tunashauriwa unapoiwasha gari uiwache ingurume kwa muda kabla kutia gia

    Habari wadau , hope mu wazima. Leo nahitaji munisaidie ufafanuzi kuhusiana na hili kuiwacha gari ingurume kama imelala muda mrefu kusudi wengine wanasema temperature ishuke lakin wengine wanadai ni kuifanya oil ipande kwenye mashine. Sasa kuna ukweli wowote hapa? Na ikiwa hali ndio hiyo vipi...
  2. G

    Kwanini Mahojiano kwenye baadhi ya vyombo vya habari hayavutii?

    Habari wanajukwaa! Let's focus on our tittle ni kwamba tunaona kwa baadhi ya vyombo vya habri wanapofanya vipindi vya mahojiano tu, inakulazimu kubadili channeli maana unakosa kuvutia na unachokiona kwenye televisheni ama kukisikia kwenye redio. Swali ambalo nakosa majibu rasmi ni nani chanzo...
  3. G

    Changamoto gani ulikutana nayo lakini ikageuka kuwa fursa ya kukufikisha?

    Habari zenu wataalam, Najua wengi wetu tumepiga hatua tulipo sasa baada ya kukutana na changamoto fulani huko nyuma ambayo imekua ni fursa. Kuna kijana wa karibu nilikua namuona ana jitihada sana katika masomo ya habari (chuo kikuu) nilipojaribu kumuuliza ni kipi kinachomfanya awe bize zaidi...
  4. G

    Wazanzibari acheni kuwaminya Watoto visogo

    Kwa utafiti upi?! sometime kama huna cha kuandika tulia mzee ,"waungwana hawapendi kelele" Ngoja nikupatie jawabu ambalo litaendana na hii thread yako dhaifu ya ku attack watu lakini utalielewa Ukifuatilia utamaduni wa wazanzibar umefungamana na matendo mengi ya dini ya uislam Hivyo katika...
  5. G

    Mbona Rais Samia akienda msikitini TV hazimuoneshi?

    Jinsia yake na hata dini kwa sababu kuna sheria ki dini ambazo kwa mwanamke haopendezi kuonyeshwa basi inatosha tu kuonekana akishiriki katika maombi ya hadhara nayopia ni ibada.
  6. G

    Tundu Lissu: Samia ni Malkia mwenye kauli tamu

    Umemuelewa vizuri kabsa,halafu aje kujifanya ni muumini wa demokrasia, kiufupi hatufuati upuuzi huo.
Back
Top Bottom