Habari wanajukwaa!
Let's focus on our tittle ni kwamba tunaona kwa baadhi ya vyombo vya habri wanapofanya vipindi vya mahojiano tu, inakulazimu kubadili channeli maana unakosa kuvutia na unachokiona kwenye televisheni ama kukisikia kwenye redio.
Swali ambalo nakosa majibu rasmi ni nani chanzo kati ya anaehoji na kuhojiwa? Kadhalika ni sabavu zipi zinazopelekea mahojiano hayo kukosa mvuto.
Nilichokigundu ni kidogo tu kwamb kauli anayotoa chanzo (anaehojiwa) kama "Ahsante ndugu mwandishi wa habari" inachangia pia mahojiano kukosa mvuto , hilo ni kwa upande wa anaehojiwa.
Walakini anaehoji nae kutokuuliza maswali tofauti na aliyoyaandaa katika karatasi pia ni chanzo cha kukosa mahojiano yanayovutia.
Labda mngenisaidia hili ili waandishi wanapofanya mahojiano wasi dororeshe kipindi
Let's focus on our tittle ni kwamba tunaona kwa baadhi ya vyombo vya habri wanapofanya vipindi vya mahojiano tu, inakulazimu kubadili channeli maana unakosa kuvutia na unachokiona kwenye televisheni ama kukisikia kwenye redio.
Swali ambalo nakosa majibu rasmi ni nani chanzo kati ya anaehoji na kuhojiwa? Kadhalika ni sabavu zipi zinazopelekea mahojiano hayo kukosa mvuto.
Nilichokigundu ni kidogo tu kwamb kauli anayotoa chanzo (anaehojiwa) kama "Ahsante ndugu mwandishi wa habari" inachangia pia mahojiano kukosa mvuto , hilo ni kwa upande wa anaehojiwa.
Walakini anaehoji nae kutokuuliza maswali tofauti na aliyoyaandaa katika karatasi pia ni chanzo cha kukosa mahojiano yanayovutia.
Labda mngenisaidia hili ili waandishi wanapofanya mahojiano wasi dororeshe kipindi