Recent content by Fyengeresya

  1. Fyengeresya

    Why DNA tests are BANNED in Israel?

    I don't believe
  2. Fyengeresya

    Arena maana yake nini?

    HEBU SOMA HIYOOO> Arena -a level area surrounded by seating, in which sports, entertainments, and other public events are held - a place or scene of activity, debate, or conflict.
  3. Fyengeresya

    Je, kwanini Jerusalem kuna vurugu kuliko Makka?

    Haina ukweli wowote hiyo uliyoiandika, Ukristo, Uislam na Jews zinaitwa Abrahamic religions unajua kwa nini? kwa sababu aliyeanzisha kuabudu "Mungu mmoja na Mkuu" ni Abraham/Ibrahim. Huyo Abimelek unayemsema umeokoteza kwa kuwa si kweli kwamba Mungu Mkuu ndiye aliyemwambia suala hilo. Aidha...
  4. Fyengeresya

    Je, kwanini Jerusalem kuna vurugu kuliko Makka?

    Neno uislam halikuwepo limeanza wakati wa Mtume Muhammad (SAW), mengine ni kuungaunga
  5. Fyengeresya

    Je, kwanini Jerusalem kuna vurugu kuliko Makka?

    Umeshahama kwenda mada nyingine. Tulikuwa kwenye Jerusalem ya Wayahudi naona umeenda kwingine
  6. Fyengeresya

    Je, kwanini Jerusalem kuna vurugu kuliko Makka?

    Hamna kitu hapo ni kuokoteza, Mohammad ndiye mwanzilishi wa uislam period
  7. Fyengeresya

    Je, kwanini Jerusalem kuna vurugu kuliko Makka?

    Mmiliki halali ni Myahudi hao wengine ni wakorofi kuvamia vya watu
  8. Fyengeresya

    CHRISTMASS ni ya kina Pope Julius I au ni yetu sisi na Yesu wetu?

    Itakuwa unafikilia kugonga tu ndiyo maana unataka watu washerehekee mwezi wa mimba. Acha kusumbuana na watu wasiojulikana kama wakristo, Waislam au wayahudi. Hapa wanaleta ubishi ili wote twende usabato halafu eti ndiyo Yesu atalejea kuchukua kanisa lake. Kwamba kutoshika kwetu siku ya jumamosi...
  9. Fyengeresya

    CHRISTMASS ni ya kina Pope Julius I au ni yetu sisi na Yesu wetu?

    Itakuwa unafikilia kugonga tu ndiyo maana unataka watu washerehekee mwezi wa mimba.
  10. Fyengeresya

    CHRISTMASS ni ya kina Pope Julius I au ni yetu sisi na Yesu wetu?

    Kweli kabisa haiwezekani akazaha
  11. Fyengeresya

    CHRISTMASS ni ya kina Pope Julius I au ni yetu sisi na Yesu wetu?

    Hoja yako ni nini sasa? nimeandika kwamba kuhusu tarehe mwezi yawezekana ukawa sahihi lakini ulichokielewa kwenye Biblia ilikuwa ndiyo hoja yangu.
  12. Fyengeresya

    CHRISTMASS ni ya kina Pope Julius I au ni yetu sisi na Yesu wetu?

    Mtoa mada unaweza ukawa sahihi kwa upande mmoja lakini ukishindwa kuelewa maana ya maneno yaliyoandikwa kwenye Biblia itakusumbua kwa kushika kamstari kamoja tu na unenda nako utafiki fimbo ya kuulia nyoka. Katika kitabu cha Luka mlango wa kwanza kuanzia mstari wa 24 inaeleza mpaka hapo...
  13. Fyengeresya

    Mgogoro kati ya Armenia na Azerbaijan

    Sio kweli Kieneo Armenia - 29,743 sq km Azerbaijan - 86,600 sq km Idadi ya Watu Armenia - 3,038,217 (July 2018) Azerbaijan - 10,046,516 (July 2018) GDP Armenia - $28.34 billion (2017 est.) Azerbaijan - $172.2 billion (2017 est.)
  14. Fyengeresya

    Arab Muslim: World architecture of slavery in Africa

    Naona jiwe la gizani ......
Back
Top Bottom