HEBU SOMA HIYOOO>
Arena -a level area surrounded by seating, in which sports, entertainments, and other public events are held
- a place or scene of activity, debate, or conflict.
Haina ukweli wowote hiyo uliyoiandika, Ukristo, Uislam na Jews zinaitwa Abrahamic religions unajua kwa nini? kwa sababu aliyeanzisha kuabudu "Mungu mmoja na Mkuu" ni Abraham/Ibrahim. Huyo Abimelek unayemsema umeokoteza kwa kuwa si kweli kwamba Mungu Mkuu ndiye aliyemwambia suala hilo. Aidha...
Itakuwa unafikilia kugonga tu ndiyo maana unataka watu washerehekee mwezi wa mimba.
Acha kusumbuana na watu wasiojulikana kama wakristo, Waislam au wayahudi. Hapa wanaleta ubishi ili wote twende usabato halafu eti ndiyo Yesu atalejea kuchukua kanisa lake. Kwamba kutoshika kwetu siku ya jumamosi...
Mtoa mada unaweza ukawa sahihi kwa upande mmoja lakini ukishindwa kuelewa maana ya maneno yaliyoandikwa kwenye Biblia itakusumbua kwa kushika kamstari kamoja tu na unenda nako utafiki fimbo ya kuulia nyoka. Katika kitabu cha Luka mlango wa kwanza kuanzia mstari wa 24 inaeleza mpaka hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.