Recent content by fyeka

  1. F

    Dr. Mwakyembe na Dr. Slaa watishiwa kuuawa

    wachangiaji mnatuchanganya.
  2. F

    Wassira on ITV (kipindi maalum)

    unaweza nipa ushahidi wowote;kashfa;au taarifa mbaya kuhusu Tyson? nakusubili kaka. otherwise kubaliana na mimi the Man is clean.
  3. F

    Wassira on ITV (kipindi maalum)

    we kijana umejuaje Wasira ni Malaya: uliwahi kumuuzia mku** wako? kwanza unafanana nae hapo bila shaka Mama yako alifil*** ukazaliwa. punguza kuuza hatukuhitaji hata huku kwetu wapo. kum**6 we!.
  4. F

    Dr. Slaa Kulipwa maslahi kama mbunge anastahili?

    WANA JF mumenikumbusha jambo muhimu hivi ilikuwaje mpaka "mpendwa" wetu Slaa aka?: 1.acha upadri. 2.aka oa mke wa mtu. 3.akaachishwa ukatibu baraza la Maskofu Tz. 4.akala pesa za msaada ya vipofu wakatoliki. 5.akajilimbikizia mshahara Mkubwa kuliko kiongozi yeyote hapo CHADEMA. 6.akaendesha...
  5. F

    Dr. Slaa Kulipwa maslahi kama mbunge anastahili?

    WANA JF mumenikumbusha jambo muhimu hivi ilikuwaje mpaka "mpendwa" wetu Slaa aka?: 1.acha upadri. 2.aka oa mke wa mtu. 3.akaachishwa ukatibu baraza la Maskofu Tz. 4.akala pesa za msaada ya vipofu wakatoliki. 5.akajilimbikizia mshahara Mkubwa kuliko kiongozi yeyote hapo CHADEMA. 6.akaendesha...
  6. F

    Dr. Slaa Kulipwa maslahi kama mbunge anastahili?

    HUO UFISADI TU!ti. hapa tuseme ukweli,kama Slaa anahubili falsafa ya kula "mihogo" basi sikutegemea kuwa angekubali kupokea mshahara wa namna hii wakati Chama hakina ofisi huko vijijini.nakala tunayo ya MKATABA alioingia na cdm ili agombee urais atakavyolipwa akishindwa urais...
  7. F

    Utasherehekeaje siku ccm ikisambaratika mwanangu?

    Thubutu! tubali katiba kwanza.
  8. F

    Wassira on ITV (kipindi maalum)

    WEWE ndo huelewi kwakuwa uko biased. ongea hoja na sio kujifanya huelewi usimsingizie mtangazaji yeye amemuelewa ndo ,maana anatikisa kichwa. we usitumike,si kila kiongozi mbaya. ninahofu na level yako ya uelewa.kama ni kubwa basi UMEIBIA SANA.
  9. F

    Wassira on ITV (kipindi maalum)

    are sure? unaijua BUNDA?.nenda kajionee. usilopoke watakucheka watu. BIG UP TYSON. wabikiri hao.
  10. F

    Wassira on ITV (kipindi maalum)

    WASIRA yuko sawa ameonyesha jinsi gani SERIKALI ilivyo makini sana kulinda nchi na wananchi wake.AMANI ya watanzania haiwezi kubinafsishwa mikononi mwa wasioitakia mema nchi yetu. kuwapa NCHI wapenda fujo ni KUMSALITI Nyerere.
  11. F

    Wassira on ITV (kipindi maalum)

    kwa ushabiki ninaouona hapa JF aliyosema Mhe Wasirayataonekana utumbo. Lakini angepita slaa hata kama yuko UCHI ungeona ushabiki ulivyo.
  12. F

    Wassira on ITV (kipindi maalum)

    ACHA UPUUZI! hizo hekima,taja upupu aliosema. au kwakuwa yuko against "waropokaji na wapenda maandamano" acha ushabiki bring facts.
  13. F

    Wassira on ITV (kipindi maalum)

    be serious he is talking the truth. hao ndio mawaziri tunaowahitaji.hao ndo akina Nyerere waliobaki.BIG UP WASIRA WAPASHE.
  14. F

    Mjadala kuhusu Babu wa Loliondo na dawa yake.

    jamani kam huyo Mganga anaonekana anaweza kusaidia umma basi serikali yetu ichukue hatua haraka ya kumpa ulinzi,na apewe msaada wa hali na mali ili afanye kazi yake kwa ufanisi. NAPENDEKEZA apewe eneo arusha mjini, aungane na Madaktari ili wafungue matawi KCMC,BUGANDO,MBEYA na MUHIMBILI...
  15. F

    Wasira kwenye kashfa ya dawa za pamba

    naam kaka makoye;mi nimpiga kura wa jimbo la huyo mchapa kazi"tyson wa maendeleo na misimamo" tunamfahamu vizuri hivyo msizushe.tusubili huo 'ushahidi tujilidhishe,nahisi haya yanayosemwa hapa mpaka na picha za kufananisha na sokwe na kuitwa mkoma labda kwaajili ya tamko na msimamo wake against...
Back
Top Bottom