Recent content by FWC

  1. F

    JamiiForums Tanzania Nikiwa na GPA YA 4.7 naweza pata chuo cha kufundisha?

    Kwa hiyo akafundishe madrasa university huko atakutana na senior lecturer Dr. Sule
  2. F

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Trump anawadharau sana viongozi wa Ulaya

    Makron ana miguu minne? Au siku hizi macho yangu hayanihudumii vizuri
  3. F

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Aliyekutana na Trump Alaska hakuwa Putin halisi, alikuwa ni moja ya watu waliotengenezwa kufanana na Putin

    Huwa wanasema matajiri wengi hawana elimu na role model wao ni Dr Msukuma
  4. F

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Aliyekutana na Trump Alaska hakuwa Putin halisi, alikuwa ni moja ya watu waliotengenezwa kufanana na Putin

    Huenda yeye ndiyo muiba kura mwenyewe, halafu atatuambia kuwa matokeo ni halisi na kumbe siyo halisi kama alivyo Putin wake fake aliyeenda Alaska
  5. F

    JamiiForums Tanzania Wanajeshi IDF wafichua Oktoba 7 ilikuwa mpango wa ndani

    Anamaanisha pia kuwa Yahya Sinwar na Ismail Haniya waliridhia kuwa baada ya tukio hilo walilopanga na rafiki zao Israel kufanikiwa wao wauawe
  6. F

    JamiiForums Tanzania Rombo: Kisa mgogoro wa mapenzi Mwalimu ajiua kwa kujichoma moto

    Umemuita aje awakosoe walimu au yeye ndiyo huyo aliyejijehenam?
  7. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini Israel iliwasaidia makaburu Africa kuua watu weusi?

    Idadi ya waarabu ni kubwa kuliko hao Bebers kwa mfano Morocco Berbers wapo kati ya milioni 14 au 15 kati ya Morocco milioni 37 na kidogo, na hiyo ndiyo nchi yenye Barbers wengi au Amazigh ikifuatiwa na Algeria
  8. F

    JamiiForums Tanzania USAID yatangaza kusitisha misaada nje ya nchi

    Hamna shida kwani huo UKIMWI walipewa na Trump au USAID?
  9. F

    JamiiForums Tanzania Ukweli umebainika : Ndege za Marekani zilifanya Udanganyifu katika kulipua Vinu vya Nyuklia Iran

    Nenda kambi yoyote ya jeshi jirani yako usiku kwa kuvizia halafu ukafanye uhalifu kama hoja ni kulala halafu utupe mrejesho enda
  10. F

    JamiiForums Tanzania US kashambulia hewa Iran ilihamisha Kila kitu kwenye vinu vya nuclear vilivyopigwa

    Haiwezekani hao raia wote milioni tisini wakawa ni wataalamu wa nyuklia
  11. F

    JamiiForums Tanzania Kanisa Katoliki limepiga Marufuku Viongozi wa Serikali/Wanasiasa kuhutubia/kusimama mbele ya madhabahu na kutoa neno

    Sasa Jenister Mhagama itakuwaje? Maana amezoea kutuhutubia pale Matogoro Songea
  12. F

    JamiiForums Tanzania Sifa za Urais wa TFF zitazamwe vizuri zimetungwa kimkakati zaidi ili kuhujumu ushiriki mpana wa wadau

    Wapo wachezaji wanaopambana kujiendeleza kitaaluma, nimewahi kusoma chuo na Mwegane Yeya ambaye alikuwa mchezaji wa Mbeya City ile ya moto, alikuwa akisoma BBA na sasa ni meneja wa Mbeya City sitoshangaa huko baadaye akigombea nafasi za juu TFF
  13. F

    JamiiForums Tanzania Luhaga Mpina hana uelewa sahihi wa Katiba ya CCM, yeye ni tofauti na Aida mbunge wa Chadema Mpina ana vikao vya Chama Wilayani na mkoani!

    Luhaga Mpina alisimama kama mbunge wa Kisesa, ni mbunge wa wanajimbo wote bila kujali ni CCM au wanachama wengine na alikuwa akiwasilisha hoja zake kwa Rais wa nchi kwa wakati huo na siyo mwenyeketi wa chama cha mapinduzi. Mambo ya CCM mtayajadili kwenye mikutano yenu ya chama huku mkiwa mmevaa...
  14. F

    JamiiForums Tanzania Jordan Badala Ya Kuwasaidia Gaza Anamsaidia Israel

    Siyo kila mtu ni mtumwa wa dini wengine wanazingatia sana logic kuliko mihemko Ni
  15. F

    JamiiForums Tanzania Israel watajutia milele kwa walichokifanya huko Iran

    Sema mnajuaga kutishia aisee, mtu asipokuwa makini anaweza kutimua mbio kumbe hamna lolote walaini tu
Back
Top Bottom