Recent content by future tanzanian

  1. future tanzanian

    Story behind your date of birth

    Number 1, Most of the things hapo ni right.good thng to kno
  2. future tanzanian

    Siipendi CHADEMA

    Mpigilie ni -------- wamwisho(anajua hajui,lkn anajifanya anajua) na anataka kupotosha watu..ila huku jf watu tunajua sanaaaa.aende uku vjjn walipozoea kupotosha watu wao waliokubali kufanywa wajinga.
  3. future tanzanian

    Kauli ya Membe imevunja Katiba ya JMT.

    Inabdi katiba iwe somo mashuleni..haki zetu zilizomo kwenye katiba yetu zinavunjwa kila siku.kimekua kama kakitabu flani ambacho akina maana.
  4. future tanzanian

    Unlimited internet Inauzwa kwa mwezi mzima sh 10,000 tu

    Ni all over the country au vp?
  5. future tanzanian

    CHADEMA Pangeni Maandamano Siku Ya Ujio Wa Obama

    Waoga na wabinafsi wengi sana..
  6. future tanzanian

    Kuchoma kadi za vyama ni sawa?

    Hata wakichambia ni sawa kabisa
  7. future tanzanian

    Uhaini wa Mtwara ulipangwa

    Viongozi wetu hawana uzalendo na nchi,wanajilimbikizia mali tuuuu..nakusahau hata kuleta ka nafuu kidogo kwa wananch.wanatamani sana watanzania tubaki kua wajinga.lakina kwa sasa iv wao ndo tunawaona wajinga. Yote yanayo tokea ssiv ni mavuno yao.
Back
Top Bottom