Mpigilie ni -------- wamwisho(anajua hajui,lkn anajifanya anajua) na anataka kupotosha watu..ila huku jf watu tunajua sanaaaa.aende uku vjjn walipozoea kupotosha watu wao waliokubali kufanywa wajinga.
Viongozi wetu hawana uzalendo na nchi,wanajilimbikizia mali tuuuu..nakusahau hata kuleta ka nafuu kidogo kwa wananch.wanatamani sana watanzania tubaki kua wajinga.lakina kwa sasa iv wao ndo tunawaona wajinga.
Yote yanayo tokea ssiv ni mavuno yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.