Hii ndio sahihi, ile ya kwanza iliahirishwa, maana ya kwanza inasema maombi ya vyuo yalianza trh31/08 lkn badala yake yakaanza trh 26/08 kulingana na hii ratiba ya sasa
Namaanisha, trh ya kuripoti vyuoni ni trh 23 november kulingana na academic calendar ya tcu , sasa ni vyema kuwa na result slip mapema kabla ya muda huo, maana pia kuna maandaliz ya kwenda chuon
Zimetoka tarehe 7/9/2020 na necta walizisambaza kwa maafisa elimu ili wakuu wa shule mbali mbali wazichukue, ivo kwa muda wote huo nadhani zimeshafika mashuleni , cha kufanya Wasiliana na academic wa shule uliyosoma ujue kama alienda kuzichukua upate uhakika uwahi mapema maana ratiba ikibana...
Mkuu mweka ni chuo kizuri sana hasa kwa koz ya wanyamapori, lakini changamoto yake ni ada yake na michango ipo juu mno, kozi ya wildlife kwa Sua ni 1,262,000/=TSh lakini mweka inafika 4,675,000/=Tsh kwa mwaka iyo ni school fee pekeyake na hapo bado gharama nyingine za hostel na direct cost...
Kwanza nimpongeze kwa matokeo mazuri, Bila shaka atachaguliwa moja wapo ya hivyo vyuo ulivyofanya application, japo naona kcm na st.francis atapata kiurahic zaid
Duh hawa UDOM wanazingua sana hususa kwenye upande wa customer care hawana kabisa. Mimi pia nina shida kama yako mwaka jana niliapply nikakosa udom mwaka huu nafanya application naambiwa siwez kujisajili tena na nikiingia account niliyotumia kuapply mwaka jana hairespond na hainiruhusu kufanya...
Umejitahidi mkuu, nukushauri uende diploma ya afya hutojutia, kwa alama ulizopata umekosa point moja ili kukidhi kigezo cha kwenda chuo.. Maana chuo wanahitaji point nne katka masomo mawili ambapo uwe na kuanzia D mbili..
Kwa MUHAS kupata MD ni ngumu kwa division two, maana mwaka huu one zipo nyingi na kila mtu mawazo ni kusoma muhimbili, nikushaur usifanye makosa kuapply, angalia vyuo vya private kama st.john koz kama nursing na pharmacy hutokosa..
Pia kwa MD angalia zaid bugando unaweza kubahatika, ni kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.