Recent content by Future eyes

  1. F

    Tunaotarajia kuomba Open University of Tanzania tukutane hapa wakuu

    Open university unalipa kulingana na uwezo wako, unaweza kuwa unalipia 50000 kila mwezi mpaka utakapomaliza wala hawans shida na wewe
  2. F

    Tunaotarajia kuomba Open University of Tanzania tukutane hapa wakuu

    Open unaomba tu wala hakuna haja ya kusubiri dirisha la udahili
  3. F

    Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

    Habari za Leo mkuu,naomba kuuliza Kwa tulifanya mitihani mwezi wa pili mwaka huu Kwa makadirio matokeo yetu yanaweza kutoka lini ? maana hatuelewi kabisa
  4. F

    Nini tofati kati ya Technician Certificate na Basic Technician Certificate in primary education?

    Diploma in primary education IPO chuo kikuu huria cha Tanzania na Taasisi ya elimu ya watu wazima Kwa in service
  5. F

    Kama mtabe wa mathematics, pitia hapa

    Kwenye hii solution kuna shida kwani kwenye swali kuna X je baada ya kugawanya Kwa 8x hiyo X ilipotelea wapi?
  6. F

    Aliniambia nikichepuka ataondoka na mtoto wangu na sitampata kamwe, yametimia ameondoka na mtoto nifanyeje?

    Ina maana hiyo mtoto siyo wako na kaburi atakaloonyeshwa mtoto kuwa ni la Baba yake ndilo la Baba yake sahihi na kama ataolewa na mtoto apewe Yule jamaa basi hiyo ndiye Baba yake halali hiyo mtoto,karibu kuwa unaelewa kila NENO analoongea mwanamke ,huwa hatanii Ila huwa inaakisi ukweli wake...
  7. F

    Akikwambia 'msalimie wifi', imeisha hiyo mtu wangu

    Na je mkiwa kila mnapoongea anakwambia wewe utapigwa na wifi huwa ina maana gani?
  8. F

    Naomba ushauri kwa Mtu Aliyesoma certificate ya Ualimu Grade A afanye nini Kujiendeleza

    Aende akasome diploma institute of adult education,open university of Tanzania au colleges zinazotoa kozi hiyo
  9. F

    Wapi naweza kupata past papers za NECTA za SFNA(darasa la nne)

    Pakua application inayoitwa tz shule utakutana nazo za kutosha level zote
  10. F

    Masters ya Open University na ile ya Udsm ina utoufauti gani?

    Out ndo chuo pekee chenye wanafunzi wengi na wenye uwezo kuliko hao waliodisco , na pia ni tofauti kulingana na nature ya delivery ya materials na ukimleta mwanafunzi wa udsm lazima adisco
  11. F

    Masters ya Open University na ile ya Udsm ina utoufauti gani?

    Kitu ambacho hukijui ni kuwa lecturers wa OUT wengi wamesoma udsm, tumaini, sua na kwingineko
Back
Top Bottom