Habari za Leo mkuu,naomba kuuliza Kwa tulifanya mitihani mwezi wa pili mwaka huu Kwa makadirio matokeo yetu yanaweza kutoka lini ? maana hatuelewi kabisa
Ina maana hiyo mtoto siyo wako na kaburi atakaloonyeshwa mtoto kuwa ni la Baba yake ndilo la Baba yake sahihi na kama ataolewa na mtoto apewe Yule jamaa basi hiyo ndiye Baba yake halali hiyo mtoto,karibu kuwa unaelewa kila NENO analoongea mwanamke ,huwa hatanii Ila huwa inaakisi ukweli wake...
Out ndo chuo pekee chenye wanafunzi wengi na wenye uwezo kuliko hao waliodisco , na pia ni tofauti kulingana na nature ya delivery ya materials na ukimleta mwanafunzi wa udsm lazima adisco
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.