Recent content by Furaha Kyandofu

  1. F

    Elimu ni bora kuliko mali

    Jamaa wamevamia benki kuiba, mkubwa wao akawaambia wateja wote na wafanyakazi ndani ya benki: Laleni chini na kila mtu atulie jinsi alivyo. Hela ni mali ya serikali, uhai ni mali ya Mungu. Nyie hamna chenu. Kila mtu akasalimu amri akalala chini. Hiyo inaitwa: "Falsafa ya kubadili fikra za watu"...
  2. F

    Msaada

    Jamani kwa anaejua kudownload magemu kwenye kompyuta hasa ya mpira wa miguu!!! Matusi mwiko Sent using Jamii Forums mobile app
  3. F

    Nahitaji shule ya kufundisha esp private school.

    Nimekupata mkuu mwenyewe nilimaliza chuo 2015 nikachukua masalia ya bum yalikuwa kama 1.5 ml hivi nikafungua biashara japo yakazalaulika kwa mtu mwenye bachela kufanya ila sasa nina miaka miwili kasolo mwezi mmoja kamtaji 7 ml naona kanaonekana na mengine mengi yakutumia pesa nimefanya TUACHANE...
  4. F

    Hlia halisi ya vyuoni

    Kama umegundua kuwa takataka unaendelea kusoma hapo upate nini? Inawezekana we kilaza! Kama takataka usipoteze mda acha kaombe UDSM
  5. F

    Unanunua Ndege, Waalimu hawajalipwa Miezi 5!

    We huoni vinashabiliana vip jaman ! Kumbuka pesa zote ni za selikali! Na yote ni matumizi ya serikali so inaweza badil matumiz toka kununua ndege kwenda kwenye mishahara ya wafanyakazi
  6. F

    Hili ndio wazo langu la biashara nahitaji mchango wa mawazo zaidi

    Ukijifanya elimu élimu utaishia kukaa na vyeti, halafu huna chochote had hela ya kunyolea ndevu unaomba kwa babaako, Ni aibu aisee. Upande wangu wazo zuli ila mm Dar ckufahamu vizur kama c kabisa, nadhani wanaokufahamu watakushauli mkuu
Back
Top Bottom