Recent content by Furah Mshoro

  1. Furah Mshoro

    JamiiForums Tanzania GE2020 EXCLUSIVE: Maswali kwa Mgombea Urais wa JMT, Tundu Lissu kutoka kwa Watanzania watumiao mitandao ya kijamii

    Mheshimiwa Lissu, Pole na harakati za kampeni. Je ukishinda uraisi, hii miradi iliyoanzishwa na Magufuli ambayo haijakamilika kama SGR je utaendelea nayo kuimalizia au utasitisha zote?
  2. Furah Mshoro

    JamiiForums Tanzania Nataka kuwekeza kwenye hisa

    Hivi ni jinsi gani naweza wekeza kwenye hisa hapa Tanzania? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Furah Mshoro

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Sportpesa Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Furah Mshoro

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hivi wadau wapo wanaouza tips za kweli kabisa au uzushi tu? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Furah Mshoro

    JamiiForums Tanzania Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

    Asante mkuu
  6. Furah Mshoro

    JamiiForums Tanzania Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

    Application ya kupata followers instagram msaada
  7. Furah Mshoro

    JamiiForums Tanzania Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Habari. Naombeni kujua ni zinazoweza anzishwa kwa mtaji wa laki 2 na nusu?
  8. Furah Mshoro

    JamiiForums Tanzania Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Ndio maana nataka kujua ni biashara zipi zinazowezekana kwa hio hela ili nichague
  9. Furah Mshoro

    JamiiForums Tanzania Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Dar na arusha ndo sehemu nnazopatikana sana. Nina ujuzi wa uhasibu kidogo
  10. Furah Mshoro

    JamiiForums Tanzania Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Habari zenu wana JF. Nina sh laki moja na nataka kuingia kwenye biashara. Jen ni biashara gani itafaa nianzishe kwa hicho kiasi cha fedha? Tafadhali naombeni msaada wenu.
  11. Furah Mshoro

    JamiiForums Tanzania Kupatwa kwa Jua: Sayansi imethibitisha Mungu hayupo

    Kufananisha sayansi na mungu ni sawa na kulinganisha kikombe cha maji na bahari. Ya kaisari tumwachie kaisari na ya mungu tumwachie mungu.
  12. Furah Mshoro

    JamiiForums Tanzania Natafuta eneo kwa ajili ya shamba kwa bei nafuu

    Sawa nashukuru. Ngoja nikafuatilie
  13. Furah Mshoro

    JamiiForums Tanzania Natafuta eneo kwa ajili ya shamba kwa bei nafuu

    Kununua
Back
Top Bottom