Mheshimiwa Lissu,
Pole na harakati za kampeni.
Je ukishinda uraisi, hii miradi iliyoanzishwa na Magufuli ambayo haijakamilika kama SGR je utaendelea nayo kuimalizia au utasitisha zote?
Habari zenu wana JF. Nina sh laki moja na nataka kuingia kwenye biashara. Jen ni biashara gani itafaa nianzishe kwa hicho kiasi cha fedha? Tafadhali naombeni msaada wenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.