Recent content by funzadume

  1. funzadume

    Shoga maarufu Afrika, Bob Risky afungwa jela kurusha na kukanyaga pesa ya Kinaijeria (Naira)

    Nimejiuliza swali kama hilo na mie BICHWA KOMWE - tupe jibu
  2. funzadume

    Shoga maarufu Afrika, Bob Risky afungwa jela kurusha na kukanyaga pesa ya Kinaijeria (Naira)

    Ulivyoandika umenifikirisha sana eti hadi raha? na wewe tunakushuku vibaya sasa
  3. funzadume

    Huyu Mwanamke tangu alipokuja kwangu kang'ang'ania kukaa hataki kuondoka

    Kuna sehemu umesema baby mama wako unakutana nae kwenye chumba cha mshikaji? hapo ndio nimegundua story yako haina uhalisia. Sorry for wasting my time on it
  4. funzadume

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mwambie jirani nina jambo ukipata muda naomba unishauri. Ila inabidi tukae sehemu yenye utulivu maana nahitaji ushauri. Asipojaa utakuwa na gundu
  5. funzadume

    Je mwezi umeonekana huko uliko?

    Imetangazwa kesho Eid
  6. funzadume

    Natamani kumcheki lakini nashindwa kwa kuhofia kuonekana dhaifu kwake

    Kaza mtu mbadi. Ukimcheki utaonekana boya. Utoto raha sana
  7. funzadume

    Rufiji: Vijiji 23 vimekumbwa na mafuriko makubwa kutoka Bwawa la Umeme la JNHPP. Je, Tathmini ya athari kwa mazingira ilipuuzwa kabla ya ujenzi?

    Kwa mtazamo wangu naona hao wanavijiji walipwe fidia na kuhamishwa kutoka eneo hilo. Faida za mradi huu ni kubwa sana ukifananisha na hivyo vijiji 23. Wapewe chao wahamie sehemu nyingine mradi uendelee.. Tatizo la umeme ni kubwa na mradi huu utasaidia sekta nyingi sana za uchumi tofauti na watu...
  8. funzadume

    Naomba nisaidiwe tiba ya harufu kali ya kikwapa

    Jaribu deodorant inaitwa Degree utanishukuru baadae
  9. funzadume

    Maafisa Usalama wavamia nyumba za Diddy, akakimbia msala na ndege yake binafsi inafuatiliwa huko Antigua Caribbean

    Hivi Bongo kwa nini kijiti hakiruhusiwi? Wanaruhusu viroba na gongo vitu vya ovyo kabisa
  10. funzadume

    Maafisa Usalama wavamia nyumba za Diddy, akakimbia msala na ndege yake binafsi inafuatiliwa huko Antigua Caribbean

    Bangi yake ndio inavutwa na matajiri ulimwenguni kote. . Ana ukwasi wa kutisha by now
  11. funzadume

    Maafisa Usalama wavamia nyumba za Diddy, akakimbia msala na ndege yake binafsi inafuatiliwa huko Antigua Caribbean

    OK nimekusoma Tyson by now ana mkwanja kutokana na biashara halali ya bangi. Ulipomtolea mfano kama mtu aliyepotea ndio hapo tulishangaa kidogo maana amerudi kwenye mstari kama mwanzo
  12. funzadume

    Nitamjuaje mwanamke aliyewekwa tego?

    Nimeshaambiwa ni jani la mlimao. Naenda kuupanda nyumbani leo hii dadeq
Back
Top Bottom