Kuna sehemu umesema baby mama wako unakutana nae kwenye chumba cha mshikaji? hapo ndio nimegundua story yako haina uhalisia. Sorry for wasting my time on it
Kwa mtazamo wangu naona hao wanavijiji walipwe fidia na kuhamishwa kutoka eneo hilo. Faida za mradi huu ni kubwa sana ukifananisha na hivyo vijiji 23. Wapewe chao wahamie sehemu nyingine mradi uendelee..
Tatizo la umeme ni kubwa na mradi huu utasaidia sekta nyingi sana za uchumi tofauti na watu...
OK nimekusoma Tyson by now ana mkwanja kutokana na biashara halali ya bangi. Ulipomtolea mfano kama mtu aliyepotea ndio hapo tulishangaa kidogo maana amerudi kwenye mstari kama mwanzo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.