Usiku wa kuamkia leo siafu wamevamia shambani kwangu na kuua vifaranga vya wiki tatu 56 na vya miezi miwili na nusu 31 vilivyokuwa kwenye banda maalum la kukuzia
Kwa wenye uzoefu nifanye nini kudhibiti siafu shambani
Nisaidieni wataalam
Ndugu yangu sema tu ni wewe usisingizie watu humu tunatumia majina bandia
Anyway ushauri panga nyumbani ya peke yako yenye fensi itakuwa umemaliza utata wote. Kumwacha sio solution
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.