Recent content by funzadume

  1. funzadume

    Siafu wameua vifaranga shambani

    Hao said wadogo kwenye picha wote wamekufa kwa kuumwa na siafu
  2. funzadume

    Siafu wameua vifaranga shambani

    Yaani jana Ijumaa nilienda shamba nikakuta mifugo inaendelea vizuri sana. Saa nane usiku napigiwa na kijana wa shamba siafu wameua kuku wadogo
  3. funzadume

    Siafu wameua vifaranga shambani

    Asante sana kwa ushauri. Kweli JFC ni kisima cha maarifa
  4. funzadume

    Siafu wameua vifaranga shambani

    Asante sana nitajaribu mbinu hizi
  5. funzadume

    Siafu wameua vifaranga shambani

    Asante. I’m so disappointed
  6. funzadume

    Siafu wameua vifaranga shambani

    Vifaranga ni vya kienyeji
  7. funzadume

    Siafu wameua vifaranga shambani

    Usiku wa kuamkia leo siafu wamevamia shambani kwangu na kuua vifaranga vya wiki tatu 56 na vya miezi miwili na nusu 31 vilivyokuwa kwenye banda maalum la kukuzia Kwa wenye uzoefu nifanye nini kudhibiti siafu shambani Nisaidieni wataalam
  8. funzadume

    Polepole: Kufanya harambee kama hizi kuna faida na hasara, lakini hasara ni kubwa zaidi. Chama kinatekwa

    Hujanielewa mie natumia funzadume huyo aliyepiga comment anatumia funza mie sihusiki na siasa hata kidogo
  9. funzadume

    Njia gani nzuri ya kumfukuza mwanamke alieng'ang'ania ghetto??

    Dawa ya demu ni demu mwingine mkali zaidi
  10. funzadume

    Tetesi: ununuzi wa umma Mh Rais TRC/PPRA

    Madini haya. Shukrani
  11. funzadume

    Tunataka kurudiana ila tunategemeana, nipeni mbinu

    Utoto una mikingamo sana. Anyway wakikua wataacha
  12. funzadume

    Tetesi: Wananchi wamchangia pesa Basila Mwanukuzi kugombea Jimbo la Kawe

    Ya hapa Dar ndio alipokulia huyo mtia nia
  13. funzadume

    Mke jeuri

    Ndugu yangu sema tu ni wewe usisingizie watu humu tunatumia majina bandia Anyway ushauri panga nyumbani ya peke yako yenye fensi itakuwa umemaliza utata wote. Kumwacha sio solution
Back
Top Bottom