Utangulizi: Ndani ya makala hii viongozi na watanzania wote wataweza kutambua sababu za kwa nini Tanzania inaweza kutokomeza tatizo la kukata kwa umeme ovyo ovyo.
Tanzania ni nchi ambayo ni miongoni mwa ñchi zinazoendelea. Pia ni nchi ambayo bado haijaimarisha miundo mbinu ya nishati ya umeme...
UTANGULIZI
Katika makala hii utaweza kujifunza juu ya shujaa huyu mwenye nguvu asiyeweza kutumia silaha zake, tena ni kipofu.
Shujaa ni neno lililotumika kuwakilisha bara ambalo lina vyanzo vingi vya kuingiza kipato. Vyanzo hivyo vimewakilishwa na neno "SILAHA". Bara hili halioni fursa...
Duniani yapo magonjwa mengi sana ambayo yalitokea na kupotea na mengine bado yanaendelea. Na magonjwa mengine yanatisha watu wa rika zote na watu wa vyeo mbalimbali. Lakini Mimi napenda kukufahamisha magonjwa kumi(10) ambayo wanasayansi na madaktari bingwa hawajakuambia kuwa yapo na yanauwa Kama...
Wanandoa wa karne hii wamesahau maneno matano muhimu kwenye ndoa nayo yanaifanya ndoa kudumu. Yafuatayo ni maneno muhimu katika ndoa;
1. NINAKUPENDA
Tafakari jinsi ulivyokuwa unalitaja(tamka) neno hili wakati wa uchumba wako. Sasa jiulize je unalitendea haki katika ndoa yako?. Kama...
Ukitaka uharibu Mambo yako no kuwa na haraka. Urafiki na mwenzi wako mtarajiwa unatakiwa uchukue miezi sita Hadi mwaka ndipo utoe haja ya moyo wako kwa rafiki yako. Kwa utakuwa umemuelewa vizuri tabia yake
URAFIKI HADI NDOA
Vijana wengi wanaingia katika matatizo wakati wa ndoa zao kwa sababu wanasahau kiungo muhimu Cha ndoa.
Kiungo hiki ni urafiki, yaani kijana wa kiume au wa kike anatakiwa kumfanya rafiki Kwanza mtu yule ambaye anategemea kuwa mwenza wake.
Ili amjue tabia yake Kwanza ndipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.