Urafiki hadi ndoa

Urafiki hadi ndoa

Huo urafiki unakaa mda gani sas ndo umwambie unampenda au ukishakua marafiki upendo unakuj automatic?
Ukitaka uharibu Mambo yako no kuwa na haraka. Urafiki na mwenzi wako mtarajiwa unatakiwa uchukue miezi sita Hadi mwaka ndipo utoe haja ya moyo wako kwa rafiki yako. Kwa utakuwa umemuelewa vizuri tabia yake
 
URAFIKI HADI NDOA

Vijana wengi wanaingia katika matatizo wakati wa ndoa zao kwa sababu wanasahau kiungo muhimu Cha ndoa.

Kiungo hiki ni urafiki, yaani kijana wa kiume au wa kike anatakiwa kumfanya rafiki Kwanza mtu yule ambaye anategemea kuwa mwenza wake.

Ili amjue tabia yake Kwanza ndipo achukue uamuzi wa kuweka wazi nia yake(hisia zake).

Jambo hili litawafanya wanandoa marafiki kujuana mapungufu yao. Hivyo ni chanzo Cha kuwa na ndoa yenye amani na furaha.

Kwa hiyo nawashauri vijana ambao hawajaoa wasiruke hatua hii kwani ni hatua nyeti Sana.
Unae mtu mmoja ambaye unamuita rafiki wa kweli kwako? Kama yupo basi kumbuka mlianzaje kuwa marafiki. Urafiki wa kweli huja/hutokea wenyewe wala hautengenezi mbinu ila flani awe rafiki yako. Ukifanya hivyo, basi urafiki utakuwa wa muda mfuoi sana, wala haudumu na utavunjika.

Urafiki wa mke unakuja baada ya kufanya maamuzi ya kumuoa. Akishakua mke mfanye awe rafiki, muishi kama marafiki.

NB. SI UCHUMBA WALA URAFIKI AMBAO UNAKUPA NDOA BORA. WENGINE WENGI NJIA HII AAMEPITA NA WAMEFELI VIBAYA.
 
Haya mambo hayana formula jamani?
255788363637_status_3db06ab39ce34996a4242f528e7a20c7.jpeg
 
Ukitaka uharibu Mambo yako no kuwa na haraka. Urafiki na mwenzi wako mtarajiwa unatakiwa uchukue miezi sita Hadi mwaka ndipo utoe haja ya moyo wako kwa rafiki yako. Kwa utakuwa umemuelewa vizuri tabia yake
Mda wote huo unasubir tu si utakuta njemba ingine imefanya yake au?
 
Back
Top Bottom