Nimeoa mke mbinafsi sana mpaka najuta kwanini... Nilimuoa japo kanpa watoto wawili wazuri ila simtaki na nmemtafutia mbadala wake...pesa yake ni yake tu ukichukua hata miaa lazima irudi atakupigia kelele hata kwa mda wa miezi 6 mfululizo mpka utaitoa
Viazi gani...?
Viazi vitamu ama viazi ulaya(chipsi)... Sasa hvi mambo yamebadilika sana kilimo ndo kinaenda kuwa na hela Vijana wengi wameshika boda boda na bajaji...wako load hawataki tena kulima wanataka kununua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.