Kuwa na bid ya chini siyo kigezo cha wewe kupata kazi..
Katika evaluation za tender kuna kitu kinaitwa “lowest evaluated bidder”
Hii haimaanishi yule wa bei ya chini kabisa ndie apewe kazi.
Bado kamati ya upembuzi wa tender inapitia hizo bei zako na kuona uhalisia ili kupunguza matatizo yasiyo...
Maisha yalikuwa mazuri sana..
Nikiwa darasa na kwanza 1987 nilifuatwa na school bus hadi mlangoni na kurudishwa hadi mlangoni.. baba alikuwa mfanyakazi katika moja ya shamba. Tulisoma na watoto wa kizungu. Life was good
Hilo tatizo lilinikuta wiki hii..
Nilianza kuiona hiyo hali kidogo kidogo lakini baadae ikawa serious. Yani usukani mgumu sana na mngurumo wa ajabu hata sauri ya engine husikii..
Tatizo lilikuwa ni stearing pump ilikufa. Niliponunua nikafunga tatizo limeisha kabisa.
Ninapita hapo mara kwa mara katika shughuli zangu.
Hawa watoto wamejiingiza kwenye kuvuta petroli na gundi za viatu ili kupata kilevi. Utaona wengi wao wamevaa mashati au masweta ya mikono mirefu na kuna kama chupa hivi kaifunga mkononi ndani ya hilo sweta na mara kwa mara ana nyanyua mkono...
Ndugu wanajamvi.
Naomba wataalamu wa kilimo wanijibu swali hili muhimu ambalo nimekuwa nikijiuliza kwa miaka mingi. Kama karafuu inastawi vizuri unguja na pemba ambayo ni kisiwa chenye hali ya hewa na udongo unaofanana na pwani ya tanzania bara hasa mikoa ya Tanga, Lindi na Mtwara.
Hivi hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.