Recent content by FundiNgoma

  1. FundiNgoma

    Wajuzi nawezaje ku solve hili tatizo

    Computer inawaka ikifika hapo inaganda haiendelei ... Msaada wenu tafadhari
  2. FundiNgoma

    Wajuzi nawezaje ku solve hili tatizo

  3. FundiNgoma

    Mke wangu anadai simridhishi kitandani

    Bro kwa ufupi tu huyo hana hisia na wewe Swala la kuridhika au kutosheka kingono ni mindset yako/yake jinsi ilivyo kwa wakati huo Kama akilini mwako ukishaona huyu mwanamke hajui mapenzi hata siku moja hawezi kujua vivyo hivyo kwa mwanamke. Kwa mfano angalia mwanamke mara nyingi akichepuka...
  4. FundiNgoma

    Mwenye uelewa atoe ufafanuzi hapa

    Ni kuhusu upandishaji wa vyeo kwa watumishi wa umma unaoendelea mwaka huu,ni kazi nzuri ya serikali yetu kongole sana Rais wetu.. Swali ni je kuna watumishi walioko masomoni mpaka sasa vipi nao wanapanda? Na kama hawapandi wakirudi kazini wakija kupanda cheo si watazidiwa muda wa cheo na wenzao...
  5. FundiNgoma

    Hivi wadada kumbe wanaanini uongo tunaowaambia?

    Me nashangaa kila dem nikimtongoza anaamini basi nampenda kweliii,huwa nacheka sana moyoni🤣
  6. FundiNgoma

    Tabia za mabinti wa kinyiramba wa kizazi hiki cha 2000

    Kweli mkuu me ni moja ya mashuhuda wa hawa Nyirambanians from Singapore 🙌
  7. FundiNgoma

    Nini kilisababisha urafiki na Besti/ Mshkaji wako kufa?

    Zipo sababu nyingi za kutengana na marafiki ila kwa upande wangu ni Ubinafsi na dharau plus kujisikia flani hivi.... Yani mshikaji wako anajali mambo yako yaende wewe ukwame. kuna mmoja huyo toka alivojipatia kazi sehemu akaanza kujikuta busy nikampunguza.
  8. FundiNgoma

    Wanawake hamna maajabu, tunatumia pesa nyingi bure!

    [emoji1787][emoji1787]ndo kilichobaki mkuu
  9. FundiNgoma

    Sijui tunaelekea wapi asee!

    Umemaliza kila kitu mkuu
  10. FundiNgoma

    Sijui tunaelekea wapi asee!

    Umekula mchana lakini kijana...
  11. FundiNgoma

    Sijui tunaelekea wapi asee!

    Kwani kunipa k mpaka nikupe hela?huwezi nipa kwa upendo tu? Sasa tofauti yako na dada poa ni nini hapo!!? Na je ukinipa k me pia si nakupa mboo,basi na we nipe hela.... Mbona wanawake mnakuwa selfish sana [emoji3]
  12. FundiNgoma

    Sijui tunaelekea wapi asee!

    Kwani tunakuwa wapenzi ili iweje?Ili tupostiane status ama?
  13. FundiNgoma

    Sijui tunaelekea wapi asee!

    Ukimwambia hivo anasema me sijiuzi [emoji3]kiufupi hawajielewi hata wao ni kina nani
  14. FundiNgoma

    Sijui tunaelekea wapi asee!

    Nyakati hizi demu anakwambia eti "me sijiuzi ila kama hunipi hela nakupaje penzi sasa?[emoji3] That means bila kumpa hela mapenzi hayapo kabisa alafu demu huyo huyo anakwambia hajiuzi. Sasa unajiuliza kuna tofauti gani na kununua malaya sehemu zingine Na hawa ndiyo tunawategemea wawe mama wa...
  15. FundiNgoma

    Hivi ni kweli kuna kitu kinaitwa Gundu?

    Yani najiuliza hivi kweli kitu gundu kipo au ni nadharia tu. Kuna ile mtu anaambiwa we una gundu yani mambo yake hayatoenda na hatokaa afanikiwe katika jambo lolote abadani,kama ni mafanikio atayasikia tu kwa wengine,kuna hicho kitu nasikia sana kuhusu Gundu,sasa niwaulize wana MMU maana hili...
Back
Top Bottom