Wanaoweza ku-survive na hili sakata ni mapunguwani wa akili..ila kama upo timamu usipolaani hili tukio la Oct 29 kwenye group bas hata ukiwa na mkeo kitandani utalaani
Sasa kama kuna kiongozi aliwahi sema kuna chama kimeagiza virusi vya Covid, hata watu wakiagiza vyuma fresh tu maana alert ilishatolewa kilichobaki ni utekelezaji
Nahisi Leo ni uzinduzi wa maandamano tu na wamefungua JWTZ na Polisi, kesho sasa huenda GenZ wakawa live, ni option mbili tu nchi ifungwe watu wasitoke au shughuli nyingine ziendelee zikihusisha maandamano...Mimi nafikiri bado mapema kumpata mshindi wa hii mechi kikubwa tuombe amani tu.
Nguvu gani ya walioenda kupambana nayo?? Nguvu ga matumizi ya Risasi? Hata ungekuwa wewe na rafiki yako mlikuwa na nguvu ya kuzuia maelfu ya waandamaji kwakua ni watu wengi against bullets... Kilichowashangaza wengi kwenye Mo29 ni mwenye mamlaka kuruhusu risasi tu atleast ndio point ila sio...
Hivi kweli unafurahia hilo..kesho wakitoka maana ni maandamano yasiyo na ukomo...it means polisi wasitoe barrier walizoweka leo wakitoa kesho ili watu waende kazini hapohapo GenZ wanaunga, wasipotoa kuanzia tutaendelea kwenye lockdown...ni mpuuzi tu ndo anayeweza ona huu ni ushindi wa serikali...
Dah kama hii ndio point ya kutoandamana badi wewe mi punguani wa muda mrefu humu Jf.. bora useme tu siandamani sababu sina interest na siasa ila huandamani sababu unajiweza kiuchumi ...unajua Oct 29 kuna watu wanapesa za kutosha waliuliwa majumbani na hawakuandamana. Hela zako hazina chochote...
Dah hivi watu mnasoma ili muwafurahishe wazazi au kuelimika? Mbona logic ndogo sana inatumika kuelewa alichomaanisha..kwamba hata serikali ikitoa notice ya siku 30 kuvunja soko itakuja kuvunja katiika masaa hayohayo iliyotangaza exactly?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.