Recent content by fundinaizer

  1. fundinaizer

    JamiiForums Tanzania Nyahoza: Barua yetu kwa CHADEMA inasema kusimamisha chama kwa muda, sio kufuta

    Sasa hapo ni sawa na kujamba na kujufunika shuka
  2. fundinaizer

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Ningetamani niwe mtu wa kawaida tu, kuna wakati haya majukumu unaona Soo much Artificial

    Hiyo kazi inabidi uagane na ubongo ..naona kaanza kushtuka
  3. fundinaizer

    JamiiForums Tanzania Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Serikali ipi wakati hakukuwa na Rais madarakani , unapindua mgombea wa urais?
  4. fundinaizer

    JamiiForums Tanzania Umuhimu wa wanaume kujipenda na kuwa wasafi

    Maelezo kibaao kumaliza miti tu
  5. fundinaizer

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi wa fedha na utawala NIDA yupo ndani kwa makosa ya uchochezi

    Wanaoweza ku-survive na hili sakata ni mapunguwani wa akili..ila kama upo timamu usipolaani hili tukio la Oct 29 kwenye group bas hata ukiwa na mkeo kitandani utalaani
  6. fundinaizer

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Miaka 35-55 inaweza kuwa ya kutisha kwa wanaume. Kitumie vizuri kipindi cha miaka 20-35

    We jamaa bado unaweweseka na huu us*nge
  7. fundinaizer

    JamiiForums Tanzania Naogopa sana ninapoona vijana wavyotamani sana kumiliki silaha za moto

    Sasa kama kuna kiongozi aliwahi sema kuna chama kimeagiza virusi vya Covid, hata watu wakiagiza vyuma fresh tu maana alert ilishatolewa kilichobaki ni utekelezaji
  8. fundinaizer

    JamiiForums Tanzania Jenista Mhagama alikuwa Waziri wa Afya wakati wa maandamano, kaondoka na siri gani?

    Kuna yule Ba-Orange naye akae mkao wa kibra sidhani kama watamuacha.
  9. fundinaizer

    JamiiForums Tanzania Queen Darleen: Semeni mtakuja kunyamaza, hamnishughulishi na mkitaka kupigana njoo

    Kazi kwenu vijana wa Darisalama
  10. fundinaizer

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ni sababu gani imefanya maandamano ya D9 kudoda ?

    Nahisi Leo ni uzinduzi wa maandamano tu na wamefungua JWTZ na Polisi, kesho sasa huenda GenZ wakawa live, ni option mbili tu nchi ifungwe watu wasitoke au shughuli nyingine ziendelee zikihusisha maandamano...Mimi nafikiri bado mapema kumpata mshindi wa hii mechi kikubwa tuombe amani tu.
  11. fundinaizer

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Enyi mnaokejeli haya maandamano mna upungufu wa akili

    Nguvu gani ya walioenda kupambana nayo?? Nguvu ga matumizi ya Risasi? Hata ungekuwa wewe na rafiki yako mlikuwa na nguvu ya kuzuia maelfu ya waandamaji kwakua ni watu wengi against bullets... Kilichowashangaza wengi kwenye Mo29 ni mwenye mamlaka kuruhusu risasi tu atleast ndio point ila sio...
  12. fundinaizer

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Maelekezo kutoka juu, internet inazimwa saa saba kamili mchana

    Hivi kweli unafurahia hilo..kesho wakitoka maana ni maandamano yasiyo na ukomo...it means polisi wasitoe barrier walizoweka leo wakitoa kesho ili watu waende kazini hapohapo GenZ wanaunga, wasipotoa kuanzia tutaendelea kwenye lockdown...ni mpuuzi tu ndo anayeweza ona huu ni ushindi wa serikali...
  13. fundinaizer

    JamiiForums Tanzania Hakuna askari aliyebeba Bunduki!

    Dah kama hii ndio point ya kutoandamana badi wewe mi punguani wa muda mrefu humu Jf.. bora useme tu siandamani sababu sina interest na siasa ila huandamani sababu unajiweza kiuchumi ...unajua Oct 29 kuna watu wanapesa za kutosha waliuliwa majumbani na hawakuandamana. Hela zako hazina chochote...
Back
Top Bottom