Recent content by fundinaizer

  1. fundinaizer

    JamiiForums Tanzania Kada wa CCM, Bakari Kazungu, ambaye amekuwa akikemea uchawa, atekwa na kufanyiwa vitendo vya kikatili

    Kwani shida ni utu wake? Shida ni kuanza kutambua na kung'amua kipi ni cheusi kipi no cheupe... Huyu alijipambanua kutenganisha rangi ndo kosa ... Wapo wengi sana wanaoona hiyo rangi ila dawa ni moja ukaushe kama huoni au utambue rangi kisha uonyeshwe.
  2. fundinaizer

    JamiiForums Tanzania Hii dhana kuwa wanafunzi form six wanafaulishwa ina ukweli? Je taifa litakuwa na madhara gani huko mbeleni?

    Ukijiuliza kwanini wasomi wengi sahivi ni machawa basi jibu ni kuwa wanaandaliwa kwa mfumo huo.
  3. fundinaizer

    JamiiForums Tanzania Kwenye maisha yako ya utafutaji, usije ukarogwa ukakimbilia Moshi

    Mikoa ya kipuuzi ni Kilimanjaro na Arusha
  4. fundinaizer

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kuna Mwanasiasa anavuka Red line soon.

    Duh kwa imani watu waliyonayo juu ya huyo Heche kama mtapita nae itakuwa kazi nzito sana ..mara mia TAL japo naye anapendwa na anahaki ya kuishi ila Heche sijui vijana mtawaambia nini ..kuanzia hapo Tarime mpaka huku Kigamboni.
  5. fundinaizer

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mwajiriwa Serikalini, nilikopa ila nimefeli malengo nahisi ninaenda kupotea

    Issue sio kukopa, issue ni kuwa huwezi fanya biashara bila utafiti.
  6. fundinaizer

    JamiiForums Tanzania Ukikuta Mwanao wa kike Darasa la 6 anaangalia Ngono, unapaswa kufanyaje kumsaidia?

    Mimi kama Millenial huyo mtoto angekuwa binti yangu ningemuita ..namuagiza soda mbili tunakaa nje kwenye bustani ya nyumbani kisha namwambia ulichofanya ni hali ya kibinadamu na lazima kila binadamu aipitie ,hata mimi na mama ako tumefanya ndio mana ukazaliwa wewe ila wewe bado utakiwa usome...
  7. fundinaizer

    JamiiForums Tanzania Acha kuteseka, dawa za vidonda vya TUMBO ZIPO!

    Bora hiyo 60k ya dozi hospitalini nimedondosha kama milion mzee maaana nilipopata hali ile nimefanya vipimo vingi hadi kugundua hali ya ulcers na hatua iliyokuwepo
  8. fundinaizer

    JamiiForums Tanzania Acha kuteseka, dawa za vidonda vya TUMBO ZIPO!

    Ukweli mkuu Shangazi yangu muda tunakukuruka mahospitali aliniambia neno moja tu ... We hangaikia tiba ya hospital ukishindwa utaniambia.. wakati huo mm nilikuw sisikilizi habari ya Herbal ... Sasa nilivyotoboka pesa nyingi na madozi bila mafanikio nilimcheki akasema sawa ... Kuna dawa alitumia...
  9. fundinaizer

    JamiiForums Tanzania Wasira: CHADEMA wanasema hawataki maridhiano, wanafikiri wao ndio tunataka kuridhiana nao

    Umesahau point ya msingi.. mmoja alikuwa mzalendo wa mali za umma mwingine alikuwa fisadi
  10. fundinaizer

    JamiiForums Tanzania Acha kuteseka, dawa za vidonda vya TUMBO ZIPO!

    Ukweli mchungu dawa za hospital hazitibu vidonda vya tumbo.. naongea kama mhanga niliyeshuhudia haya ..mitishamba nili-dharau kabla sijaumwa ulcers...yaliponikuta nimetoboka hela kinoma hospital kubwa zaidi ya mbili, nimetumia Milion na point vipimo vya kutumbukiza tumboni +dozi za bei ndefu...
  11. fundinaizer

    JamiiForums Tanzania MwanaFA azomewa na wananchi baada ya kuanza kusifia Awamu ya 6 kwenye Tamasha la miaka 30 ya Bongo Fleva

    Kilichotokea hapo ni sawa utume hela kwa demu alafu asijibu Asante nimeiona... Yani unatia hela mahali kisha unaambulia matusi.
  12. fundinaizer

    JamiiForums Tanzania Serikali bado haijaelewa maana ya maandamano siku hizi. Serikali itatue kero za waandamanaji

    Haelewi huyo siku mishahara ya hao mapoti ikifeli ndo wataona rangi halisi ya men in uniform.
  13. fundinaizer

    JamiiForums Tanzania Nyahoza: Barua yetu kwa CHADEMA inasema kusimamisha chama kwa muda, sio kufuta

    Sasa hapo ni sawa na kujamba na kujufunika shuka
Back
Top Bottom