Kwani shida ni utu wake? Shida ni kuanza kutambua na kung'amua kipi ni cheusi kipi no cheupe... Huyu alijipambanua kutenganisha rangi ndo kosa ... Wapo wengi sana wanaoona hiyo rangi ila dawa ni moja ukaushe kama huoni au utambue rangi kisha uonyeshwe.
Duh kwa imani watu waliyonayo juu ya huyo Heche kama mtapita nae itakuwa kazi nzito sana ..mara mia TAL japo naye anapendwa na anahaki ya kuishi ila Heche sijui vijana mtawaambia nini ..kuanzia hapo Tarime mpaka huku Kigamboni.
Mimi kama Millenial huyo mtoto angekuwa binti yangu ningemuita ..namuagiza soda mbili tunakaa nje kwenye bustani ya nyumbani kisha namwambia ulichofanya ni hali ya kibinadamu na lazima kila binadamu aipitie ,hata mimi na mama ako tumefanya ndio mana ukazaliwa wewe ila wewe bado utakiwa usome...
Bora hiyo 60k ya dozi hospitalini nimedondosha kama milion mzee maaana nilipopata hali ile nimefanya vipimo vingi hadi kugundua hali ya ulcers na hatua iliyokuwepo
Ukweli mkuu Shangazi yangu muda tunakukuruka mahospitali aliniambia neno moja tu ... We hangaikia tiba ya hospital ukishindwa utaniambia.. wakati huo mm nilikuw sisikilizi habari ya Herbal ... Sasa nilivyotoboka pesa nyingi na madozi bila mafanikio nilimcheki akasema sawa ... Kuna dawa alitumia...
Ukweli mchungu dawa za hospital hazitibu vidonda vya tumbo.. naongea kama mhanga niliyeshuhudia haya ..mitishamba nili-dharau kabla sijaumwa ulcers...yaliponikuta nimetoboka hela kinoma hospital kubwa zaidi ya mbili, nimetumia Milion na point vipimo vya kutumbukiza tumboni +dozi za bei ndefu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.