Wakuu nashukuru kwa maoni yenu.. nchi za wenzetu wanakuwa na therapist wanao deal na ishu za kijamii haya na mengineyo ...matukio mengi nchini huwa yanapelekewa na watu kukata tamaa na kuwa tayari kupoteza chochote baada ya kupitia historia fulani.
Jf members nyie ni familia nimejifunza mengi...
Asanteni kwa maoni yenu wakuu... naamini nimepata wadau wenye hali kama hii ..sio kama nilianzisha uzi kwa ajili ya mzaha ila hii hali wengi tunayo na inaleta lawama sana... nategemea maoni yaliyotolewa na wadau humu tuendelee kuyafanyia kazi.
Msaliti sio?? Unafikiri Dayneris angemuacha Jon hai ikiwa tayari anajua he is true heir to the throne we hukusikia Dany alivyosema kwa Dothrak na unsullied kuwa ushindi wa kuiangusha Kingslanding haujaishia hapo bali utaendelea Westeros yote mpaka Winterfel jamaa akajua hapo sasa anaendwa...
Mzee wa kupambania nakuelewa mkuu .. ila mimi single maza nishatemana nae ila kuna kitu nimeanzishia uzi ndio mada iliyopo.
Nimechukua busara zako sitagusa Single mom ila nitatafuta tiba ya kupuuzia raia wengine bila sababu ya msingi.
Daah mkuu wangu we acha tu huyo nimesha sahau ila nahisi hii shida mpya juzi hapa nimemchunia mtu ghafla kalalamika ..nikawa nasema hata nikimjibu nahis haitakuwa katika hali ya kuendelea maana wengine hivyo hivyo imetokea nakatisha uhusiano bil kuwaambia nini sababu. Nikaamua kupata udadisi ila...
Sijataka kujua kilichojili baina yake na jamaa yake baada ya kujua mawasiliano yao ya kina..ila ninachojua yule Ke aliweza kuwa mwanamke wa tofauti ..ujue mkuu baadhi ya KE kitu kitu anachiweza ofa kwa ME ni sex but yeye alikuwa anakuofa peace of mind .. ucheshi , ukikwama kimawazo atakushauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.