Recent content by fundinaizer

  1. fundinaizer

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Serikali ipi wakati hakukuwa na Rais madarakani , unapindua mgombea wa urais?
  2. fundinaizer

    Umuhimu wa wanaume kujipenda na kuwa wasafi

    Maelezo kibaao kumaliza miti tu
  3. fundinaizer

    Mkurugenzi wa fedha na utawala NIDA yupo ndani kwa makosa ya uchochezi

    Wanaoweza ku-survive na hili sakata ni mapunguwani wa akili..ila kama upo timamu usipolaani hili tukio la Oct 29 kwenye group bas hata ukiwa na mkeo kitandani utalaani
  4. fundinaizer

    Naogopa sana ninapoona vijana wavyotamani sana kumiliki silaha za moto

    Sasa kama kuna kiongozi aliwahi sema kuna chama kimeagiza virusi vya Covid, hata watu wakiagiza vyuma fresh tu maana alert ilishatolewa kilichobaki ni utekelezaji
  5. fundinaizer

    Jenista Mhagama alikuwa Waziri wa Afya wakati wa maandamano, kaondoka na siri gani?

    Kuna yule Ba-Orange naye akae mkao wa kibra sidhani kama watamuacha.
  6. fundinaizer

    PostGE2025 Ni sababu gani imefanya maandamano ya D9 kudoda ?

    Nahisi Leo ni uzinduzi wa maandamano tu na wamefungua JWTZ na Polisi, kesho sasa huenda GenZ wakawa live, ni option mbili tu nchi ifungwe watu wasitoke au shughuli nyingine ziendelee zikihusisha maandamano...Mimi nafikiri bado mapema kumpata mshindi wa hii mechi kikubwa tuombe amani tu.
  7. fundinaizer

    PostGE2025 Enyi mnaokejeli haya maandamano mna upungufu wa akili

    Nguvu gani ya walioenda kupambana nayo?? Nguvu ga matumizi ya Risasi? Hata ungekuwa wewe na rafiki yako mlikuwa na nguvu ya kuzuia maelfu ya waandamaji kwakua ni watu wengi against bullets... Kilichowashangaza wengi kwenye Mo29 ni mwenye mamlaka kuruhusu risasi tu atleast ndio point ila sio...
  8. fundinaizer

    PostGE2025 Maelekezo kutoka juu, internet inazimwa saa saba kamili mchana

    Hivi kweli unafurahia hilo..kesho wakitoka maana ni maandamano yasiyo na ukomo...it means polisi wasitoe barrier walizoweka leo wakitoa kesho ili watu waende kazini hapohapo GenZ wanaunga, wasipotoa kuanzia tutaendelea kwenye lockdown...ni mpuuzi tu ndo anayeweza ona huu ni ushindi wa serikali...
  9. fundinaizer

    Hakuna askari aliyebeba Bunduki!

    Dah kama hii ndio point ya kutoandamana badi wewe mi punguani wa muda mrefu humu Jf.. bora useme tu siandamani sababu sina interest na siasa ila huandamani sababu unajiweza kiuchumi ...unajua Oct 29 kuna watu wanapesa za kutosha waliuliwa majumbani na hawakuandamana. Hela zako hazina chochote...
  10. fundinaizer

    Tumebakiza masaa machache kuelekea barabarani

    Jichanganye utaua mmoja the rest ni story ..ingependeza uache wosia kabisa hili kaka yako yule Teja asisumbue wanao kwenye mirathi
  11. fundinaizer

    Kaka yake Hamphrey Polepole alitoa Ultimatum ya Masaa 24 kwa Maadui zake na kutuahidi Watanzania kulipiza Kisasi mbona sasa yamekuwa Masaa 336?

    Dah hivi watu mnasoma ili muwafurahishe wazazi au kuelimika? Mbona logic ndogo sana inatumika kuelewa alichomaanisha..kwamba hata serikali ikitoa notice ya siku 30 kuvunja soko itakuja kuvunja katiika masaa hayohayo iliyotangaza exactly?
Back
Top Bottom