Recent content by fundibenz

  1. fundibenz

    Naomba ushauri: Kati ya ufundi simu na ufundi wa umeme wa magari upi unalipa?

    Umeme wa magari,diagnosis,programming is the best bro,ukiwa na vision sio kulipa Tu,utafika mbali...
  2. fundibenz

    Ushauri kuhusu Biashara ya Kuuza Computer: Laptop/dektop used

    Dubai yapo maduka ya jumla mengi sana,hasa used na bei zao ni nafuu sana,ukilinganisha na huku, Ila hii biashara inahitaji upate mtu awe anazifahamu kidogo hasa used au hata wewe mwenyewe. Nilitamani sana kufanya hii biashara ila spare za magari zimenikamata sana maana zamani nilikuwa fundi computer
  3. fundibenz

    Nilienda kuchongesha funguo, nikafanikiwa lakini tatizo hii inafungua milango tu, haiwezi ku-turn on ignition

    Hiyo mazda ina sensor,lazima ufanye program,ndio ignition ita release na gari itawaka,kama hujafanikiwa nichek tunaweza kukutengenezea sensor.
  4. fundibenz

    Looking for business manager

    Kama uko tayari tuwasiliane,tukikubariana mshahara hakuna shida.
  5. fundibenz

    Looking for business manager

    Habari wanajf, Kupitia garage yetu tumeanzisha biashara ya spare, Tunaagiza kutoka nchi mbalimbali hivyo tunahitaji mfanyakazi kwa ajili ya kazi zifuatazo: 1. Kupokea order za wateja na kuzituma kwa mhusika 2. Kutunza financial records na cash flow management 3. online marketing (social network...
  6. fundibenz

    Naomba kujuzwa Garage ya uhakika Bagamoyo Road

    Gari gani? Na Bagamoyo road maeneo yapi karibu na wewe.
  7. fundibenz

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Hii vp hakuna? Sent from my iPhone using Tapatalk
  8. fundibenz

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Tv hisense 65 inch smart 4k bei gani? Sent from my iPhone using Tapatalk
  9. fundibenz

    Wajuzi hapa nifanyeje maana ishakua tatizo, Nimeinstall window 7 gem linagoma

    Windows 7 haina updates kwa sasa,nakushauri weka windows 10,itaingia na driver zote na games utatumia vizuri. Na utafanya online updates. Sent from my iPhone using Tapatalk
  10. fundibenz

    Uzi maalum kwa 'vitu used'

    Nauza laptop,apple macbook pro. Bei laki 3. Core i5 processor, Ram:4GB Hdd:500GB Ina tatizo la keyboard.baadhi ya button hazifanyi kazi,battery inakaa masaa 4 hadi ma 3. Mouse ina tatizo la ku shake shake,lakini hivi karibuni sijaona hilo tatizo. 0747691111 Sent from my iPhone using Tapatalk
  11. fundibenz

    Naomba kujuzwa Mahitaji ya Vifaa kwa ajili ya 'Car Diagnosis'

    makaveli10, Mimi ni fundi,na nime base kwenye diagnosis na programming tu.kwa european cars, Nina muda mrefu kwenye hii kazi,ukipata nafasi fika ofisini kwangu, naweza kukushauri na kukuelekeza zaidi na kukuonesha baadhi ya tools ambazo natumia. Hakuna gharama,na ukifanikiwa kununua naweza...
  12. fundibenz

    Naomba kujuzwa Mahitaji ya Vifaa kwa ajili ya 'Car Diagnosis'

    Labda maeneo unayokaa fuatilia magari gani sana ndio yapo mengi,au unataka kubase na magari yapi. maana vifaa vya diagnosis vinatofautiana bei kutokana na aina za magari,uwezo wa kifaa,na functions(mf:programming,adaptations,reset) Ila kwa ushauri kama uko hapa bongo tena labda ni nje ya...
  13. fundibenz

    INAUZWA Nauza compressor ya kupulizia rangi magari na mitungu ya gesi

    Habari za leo, Nina vifaa vya kazi ya car painting na body work, Yani compressor ikiwa na pipe yake,na mitungi ya gasi na pipe na mikono ya kuungia. Niliwanunulia watu wafanyie kazi lakini biashara ikawashinda ikawa hasara. Na vilevile mazingira tuliopo kwa sasa hayafai kwa hii kazi maana ina...
  14. fundibenz

    Ndugu wanajamvi naomba tujuzane aina nzuri za oil ya magari

    Oil zipo nyingi,ili upate perfomance nzuri ya gari na kuimantain engine,lazima uweke oil kutokana na specification za gari/engine Chek kama gari yako ina kitabu ineandikwa au search workshop manual. Vile vile oil hubadilishwa kutokana na km gari iliyotembea na muda tangu uibadili.
Back
Top Bottom