Hapa naona ni viroba vimejaa hivi hamuoni tajiri wa ukawa kafilisika ? Toka mfumo wa vyama vingi walisema ccm haita shinda lkn inashinda tena kwa kishindo 020 magufuli hana mpinzani
Lowassa amezoofisha msukumo wa maendeleo tz kwa kupitia madaraka alio kuwa nayo kwa kujinufaisha yeye na familia take Anastahili kuwa wa kwanza kuzindua mahakama ya mafisadi kama fisadi
Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.