Zanzibar kwanza , kizazi cha sasa cha Kizanzibar sio kizazi cha kupandikiza chuki sijui wewe mpemba wewe muunguja, sijui sultani atarudi , sijui zambi ya ubaguzi na unyerere, bullshit, tunataka Zanzibar yetu huru , hakuna cha CUF,CCM,CHADEMA wala siasa, zanzibar huru tutairejesha sisi wazanzibar...