CCM safari hii wamelazimishwa kuwa wawazi. Walisema ndani ya siku 100 wataanza mchakato wa kuleta katiba mpya. Baada ya kuona watu wameamua wanaanza kusema katiba ni nzuri. Leo wanatuambia walichilokua wamepanga kwamba hawakubali mchakato wakatiba mpya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.