Shamba zuri sana kwa kufugia kitimoto linakodishwa. Lipo Kibaha Kwa Mathias
Sifa zake; mabanda mawili makubwa yanafaa kwa kufugia nguruwe, kuna store ya chakula cha mifugo, nyumba ya kukaa msimamizi wa shamba, kuna maji ya DAWASA na kisima cha kuvunia maji ya mvua. Picha zipo attached
Ni...
Mkihitaji auto drinkers kwaajili ya kunyweshea maji kuku wako ili msitumie vile vifaa vya kupata shida ya kusafisha kila siku siku asubuhi tuwasiliane kwa namba 0625 504 952. Picha hizi hapo chini
Wafugaji wengi wamekuwa wakinywesha maji nguruwe wao kwa kuweka kwenye masebeni au sehemu zilizojengewa chini, unyweshaji maji nguruwe wa aina hii imekuwa ni moja ya sababu ya nguruwe kupata magonjwa kutokana na uchafu kuingia katika maji wakati mwingine nguruwe halalia na kukanyaga maji hayo au...
Habari zenu wakuu,
Kuna mzigo nahitaji kusafirisha South Africa, nilikuwa naomba kuuliza kama kuna basi ambalo linafanya safari za Zimbabwe au nchi nyingine jirani na SA kisha mzigo ukifika Zimbabwe kampuni hiyo hiyo iwe na basi la kupeleka mzigo mpaka SA. Au kama kuna njia nyingine mbadala...
Habari zenu wakuu,
Ningependa kufahamu bei za tambi (Jumla) kwa hapa Dar ipoje? Kwa jina lingine ni pasta au spaghet. Kama kuna anayewafahamu wauzaji wa jumla anaweza kunipa mawasiliano yao nitashukuru sana.
Mbarikiwe wakuu
Kwa mtu yeyote mwenye pesa kwenye account yake ya Paypal na anashindwa kuzitoa, mimi nanunua hizo pesa kwa makato ya 5%. Unanitumia mimi then mimi nakurushia kwa tigo pesa kwa kukata asilimia tano, kama unataka kuuza kitu online na mtu wako kasema hawezi kutuma pesa kwa njia yoyote ile isipokuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.