Sasa baada ya hotuba ya Rais alipo kutana na sector binafsi sasa nimepata picha kwanini Mh. Rais alitumia usafiri wa gari katika kampeni zake kwani alijaribu kwa nguvu zake zote na kila namna kukwepa na kukataa kile kinacho julikana kama takrima ambayo baadae Inge athiri kwa kiasi kikubwa...
Assad tambua tulipofikia atuitaji kiongozi aina ya kikwete nikweli usemayo lakini ili tutokeapa tulipo tunaitaji dictator maana wafanyakazi wengi wa serikali wamezoea kufanya kazi kwa mazoea akuna jinsi acha atunyooshe labda sasa kila mmoja atatambua umuhimu wa kuipenda nchi na kufanya kazi kwa...
Alipotembelea muhimbili na kupewa maelezo kwamba MRI haifanyi kazi kwa muda wa miezi miwili mh Magufuli alisema hivi 'jamani mashine mbovu kwa miezi miwili!, afu watu wanasafiri kwenda nje! Mmmh! Kweli kabisa!, HAWA WENGINE MUNGU ATAWALIPA'. Je hao wengine ni nani? Make ukiangalia watu wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.