Recent content by fshimbi

  1. fshimbi

    njoo nkuzie jiko la umeme

    Nitakutafuta
  2. fshimbi

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Namba yako ya simu?
  3. fshimbi

    Tanzania yenye mwanga na matarajio mapya

    Sasa baada ya hotuba ya Rais alipo kutana na sector binafsi sasa nimepata picha kwanini Mh. Rais alitumia usafiri wa gari katika kampeni zake kwani alijaribu kwa nguvu zake zote na kila namna kukwepa na kukataa kile kinacho julikana kama takrima ambayo baadae Inge athiri kwa kiasi kikubwa...
  4. fshimbi

    Tibaigana: Nchi inahitaji Rais dikteta

    Assad tambua tulipofikia atuitaji kiongozi aina ya kikwete nikweli usemayo lakini ili tutokeapa tulipo tunaitaji dictator maana wafanyakazi wengi wa serikali wamezoea kufanya kazi kwa mazoea akuna jinsi acha atunyooshe labda sasa kila mmoja atatambua umuhimu wa kuipenda nchi na kufanya kazi kwa...
  5. fshimbi

    Mshahara wa mbunge ni milioni 3.8 kwa mwezi, Posho ya Ubunge ni..

    Jamaa wanatunyoosha ndo maana huwa hawajali atakidogo wanapitisha bajeti za kipumbavu zenye kunyonya wanyonge
  6. fshimbi

    Rais Magufuli amsimamisha kazi Mkurugenzi Muhimbili

    Alipotembelea muhimbili na kupewa maelezo kwamba MRI haifanyi kazi kwa muda wa miezi miwili mh Magufuli alisema hivi 'jamani mashine mbovu kwa miezi miwili!, afu watu wanasafiri kwenda nje! Mmmh! Kweli kabisa!, HAWA WENGINE MUNGU ATAWALIPA'. Je hao wengine ni nani? Make ukiangalia watu wote...
  7. fshimbi

    Clouds Media Group wataendelea kuandaa Sherehe za Kuzaliwa Rais pale Magogoni?

    Teh teh teh teh teh teh dah! Watu wana maneno
  8. fshimbi

    Magufuli kuita CV za ma RC na DC nchi utaiendesha

    Maana kama alikuwa anawaonjesha hivi
  9. fshimbi

    Sera kuu ya CCM ni Dar kwanza, Hongera wamakonde wa Mtwara!!

    Wewe ndio huwelewi Karibu kusoma tena
  10. fshimbi

    CCM kuibuka kidedea uchaguzi Arusha

    Inawezekana alinunu elimu
  11. fshimbi

    CCM kuibuka kidedea uchaguzi Arusha

    Unaota kweupeee, maskini pole sana.
Back
Top Bottom