Hii battle ya Kenya na Tanzania sijawahi kuilewa hata kidogo, watu hawana pesa mfukoni na wanaishi Jangwani, Tandika na Mwembe Yanga lakini wanajivunia magorofa, watu wanaishi Kibera, Mitumba na Mathare bila vyoo lakini wanajivunia kiingereza na ndege, maisha yakiwatinga wanakimbilia Ulaya nchi...