Recent content by Friji la mtumba

  1. Friji la mtumba

    Nimezaa nje ya ndoa nifanyeje nimweleze wife?

    Aya maelezo hapa yanatia hasira.. Inaonekana ndani ya nyumba yako mkeo ndo mwanaume yaan ana nguvu na sauti kuliko wewe..
  2. Friji la mtumba

    Hivi kwanini Wanawake wa kiislamu ndiyo wanaongoza kuolewa?

    Hii imekaa poa sana kwakweli.. Ndoa ni bora kuliko harusi maana ivyo ni vitu viwili tofauti
  3. Friji la mtumba

    Kwanini ishara, maajabu na miujiza mikubwa inafanywa na watu wanaoiamini Biblia tu?

    Izi unazoandika ni ngonjera tu na hadithi.. Furahia maisha
  4. Friji la mtumba

    Orodha ya makabila Tanzania

    Wapogoro- ruvuma???????
  5. Friji la mtumba

    Mbona Peter Kibatala anahangaika kujua jina la mbwa badala ya mbwa mwenyewe aliyewàuma watu?

    Jamaa nilikua napitia huu uzi wako na namna unavojibu watu, mkuu kiukweli hujui kujenga hoja na inaonesha una mihemko sana.. Pengine unaweza kua upo sahihi kwa baadhi ya mambo lakini jifunze kujenga hoja utaonekana smart sana...
  6. Friji la mtumba

    Kweli mjini ni msingi kiuno..

    Muandiko wa kiume kabisa🤣🤣🤣🤣🤣 badilika jembe
  7. Friji la mtumba

    Nikifanya hiki kitendo kwa mwanamke, nini kitatokea?

    Daaah nmecheka sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Back
Top Bottom