Recent content by fresh ya shamba

  1. fresh ya shamba

    Huu Ndo Ukweli kuhusu Mkoa wa Mara

    Nyila egenge habariki msubhati??
  2. fresh ya shamba

    Umewahi kwenda kwa mganga wa kienyeji "Mtaalamu"? Ilikuwaje?

    Ahahahaha babuuu Labda kwa kuwa nn???
  3. fresh ya shamba

    Ubinafsi na Dharau ya Washkaji/Machalii wa Arusha kwa WanaDSM

    Nipo Mitwero ndugu pita siku moja unipe hi...ahahahha
  4. fresh ya shamba

    Wako wapi watu hawa? Jamii inawamiss sana

    Edzen the rocker...mtangazaji wangu namba 1 wa vipindi vya hip hop Kiss collabo mix show ilikuwa hatari na nusu Hapa ni presenter pale ni MC...msanii akizingua kuchana anaanza yeye...anapasuka kinouma yaan... Hatari sana EDZEN HATARI SANA...naona siku hz amekuwa model model wa mavazi Dah...
  5. fresh ya shamba

    Ray C wa sasa hadi huruma

    Ahahaa ray c nouma Mpaka umesema Mwananyamala ulienda kufanya nn
  6. fresh ya shamba

    Kwanini wanaume hulala baada ya tendo la ndoa?

    Saa mbili tatu??? Huendi kazini???
  7. fresh ya shamba

    Nini story au kisa nyuma ya username yako na avatar yako hapa JF

    Na mm nisemepo kidogo Kama unataka mali utaipata shambani Kama afya utaipata shambani pia Ni title ya wimbo wa ndugu ya mmoja namkubali sana...namwitaga prof.Farid (fid q) FRESH YA SHAMBA avatar ni kwamba nna binti now...yeye pamoja na mama ake tunaitengeneza avatar So furesh
  8. fresh ya shamba

    Bifu ya Fid Q na Joh Makini

    Mzee mbona umekunia hapa???
  9. fresh ya shamba

    Postgraduate referees, UDSM

    Akili hata moja GPA INASOMA??
Back
Top Bottom