Hivyo ndo vizuri mkuu chepuka kwa emergence maana ma men tunaruka ruka kwa sababu mbali mbali ikiwemo kutokujiamini, ukosefu wa pesa, ukosefu wa mwanamke wa ndoto zetu nakazalika, ila ukipata pisi moja matata ukashibana nayo kuchepuka ni mara chache chache.
Kama una ndoto kubwa usiingie uaskari utajipiga kufuli ila kama unataka hela za matumizi tu kupay bills, kusomesha nk ingia uaskari but most important jitathmini unahitaji nini maishani mwako usiogope njaa saana kiasi kwamba utumie cheti cha form four wakati una degree subiri nafasi ya degree...
Nimeisoma story yote na nimeielewa, mimi sio mtaalamu wa psycology lakini inavyoomekana sio nguvu za kiume wala utaalamu wa kumchezea mwanamke kumemfanya aloanishe godoro bali ni hiyo laki ya kulipia rejesho ndo imefanya bidada aloane. Tuzidi tu kutafuta hela wakuu.
1.Know how to make money
2.How to manage money
3.know how to invest money
Anzia ulipo bro namna gani unaweza kuibadilisha hamsini kuwa mia mbili fanya hivyo kwa siku, wiki, mwezi, mpaka mwaka uje na mrejesho
NB. Ndugu wasiwe kwenye ratiba zako za matumizi just assume upo wewe mwenyewe hapa...
Ofcourse pesa imeshawekezwa na kama unavyojua watu wanaweka pesa ili izae pesa kuhusu ufafanuzi ni kwamba watu wengi wanasahau kuwekeza kwenye maarifa ndo maana nikasema natafuta mtu ambaye ata add kitu kwenye kampuni yangu what i mean ni mtu ambaye ana mtaji wa watu na awe na potentials kwenye...
Kwa jinsia ya ke ni ngumu kiaina since bcoz mara nyingi mnakuwa mnahitaji rafiki mmoja tu maishani, tofauti na jinsia ya me unakuta kila category una mshikaji, mshikaji wa kunywa nae, mshikaji wa stori tu, mshikaji wa church or msikitini...na nk.....kwa ushauri kama unataka rafiki wa faida anza...
Jaribu kujichanganya na watu unaowaona ni potential kwako na ni wa kiwango chako nikimaanisha elimu muwe sawa, kipato, umri nakadhalika marafiki wapo wengi sana ishu ni wewe unatarget marafiki wa aina gani mfano mimi napenda marafiki wenye lugha ya pesa pesa mda wote kama upo interested karibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.