Huwezi kupata haki kama wewe hutendi haki, hakuna asiyejuwa kwamba kwenye ligi yetu mmekiwa mkinunua waamuzi ili wawabebe, Angalia match ya Namungo na Kagera magoli yake ni same kama la kwenu,, pia mmekuwa mnavirangua vilabu vya ligi juu na kujifanya et wadhamin, saiv mna Zaid ya vilabu 6, pia...
Mimi nilifikili ungeanza kuwalaumu wale wapinzani matumbo wajinga ambao walikubali kulanguliwa kwa mafungu kama nyanya, walifikia hatua ya kutusaliti sisi tuliowapa dhamana ya madaraka na kuanza kujiuza
Siasa za ccm ndo hizi za kuwapumbaza wanachi, saiv kuna mgao mkubwa wa umeme tunaletewa hoja za kupumbaza
Bahati mbaya na upinzani wanaingizwaga cha kike wanatlowa kwenye reli wakifikili ccm wako siliazi,
Hapo siyo ajabu bashiru akavuliwa uanachama na upinzani wakafanya mapokezi makubwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.