Serikali hii iliingia kwa mbwembwe mara chanjo ikadunda! Mara kufungua nchi na safari kibao lakini hamna la maana linaloonekana kwenye maisha halisi!
Kurudisha wezi na wababaishaji kama akina Makamba! Mara Royal tour ujinga huu wa ajabu kabisa usio na tija kwa taifa letu!
Bila kujipanga kutatua Shida za wanchi kama mambo ya umeme,maji, mbole nk Kwenye korosho mmeboronga kweli kweli ni uppuzi mtupu mlimsema sana JPM lakini mkasau wanaowaibia wakulima ni wanasiasa!
Bashiru kashauri mnalalama eti anamkosoa Rais inamaana wasikosolewe mbona kipimdi cha Magufuli akina Mbowe na Zitto kila mda walikiwa wanaitisha press conference lakino baada ya kupata kibuyu cha asali walo kimya!
Sasa kwenye uchaguzi wenu eti mwenyekiti anatengeneza team ya 2025 na ndo maana anachagua tu watu wasio na sifa ngoja liende!
Etu wanaojibu hoja za Bashiru ni Kibajaji na Musukuma wote hawa ni vichwa maji wasiojitambua! Hivi CCM hamuoni kuwa mahangaiko ya wan achi huu ya maji na umeme hamuyaoni mnashupaza shingo eti?
Magufuli aliwakera sana na sasa amekuja wa kuwaachia mlambe asali!
Namba tukutane 2025 na mugombea wenu Samia! I tell you are going to fail ile mbaya! Na bahati yenu hata hawa CHADEMA hawana mtu makini wana vilaza tu kama akina Tundu Lisu!
Kurudisha wezi na wababaishaji kama akina Makamba! Mara Royal tour ujinga huu wa ajabu kabisa usio na tija kwa taifa letu!
Bila kujipanga kutatua Shida za wanchi kama mambo ya umeme,maji, mbole nk Kwenye korosho mmeboronga kweli kweli ni uppuzi mtupu mlimsema sana JPM lakini mkasau wanaowaibia wakulima ni wanasiasa!
Bashiru kashauri mnalalama eti anamkosoa Rais inamaana wasikosolewe mbona kipimdi cha Magufuli akina Mbowe na Zitto kila mda walikiwa wanaitisha press conference lakino baada ya kupata kibuyu cha asali walo kimya!
Sasa kwenye uchaguzi wenu eti mwenyekiti anatengeneza team ya 2025 na ndo maana anachagua tu watu wasio na sifa ngoja liende!
Etu wanaojibu hoja za Bashiru ni Kibajaji na Musukuma wote hawa ni vichwa maji wasiojitambua! Hivi CCM hamuoni kuwa mahangaiko ya wan achi huu ya maji na umeme hamuyaoni mnashupaza shingo eti?
Magufuli aliwakera sana na sasa amekuja wa kuwaachia mlambe asali!
Namba tukutane 2025 na mugombea wenu Samia! I tell you are going to fail ile mbaya! Na bahati yenu hata hawa CHADEMA hawana mtu makini wana vilaza tu kama akina Tundu Lisu!