Recent content by Frendama

  1. Frendama

    Waziri Mahiga: Kompyuta zilizoibwa ni za ofisi ya mashtaka mkoa wa Dar na sio ofisi ya DPP

    Kelele zimewashtua mmeamua kurewind mkanda maana stearing angefia kwenye maua km ilivyokuwa kwa MO shenzi type,usitetee wezi...you feeble minded zombie!
  2. Frendama

    Kwa jambo hili, intelijensia ya ulinzi wa Rais ilifeli

    Ni ujinga kumtegemea mwanadam..Riziki utoka kwa Mungu sio mwanadam, Kukaa kimya sometimes ni akili na busara. Now look how you've expose your brainless head!
  3. Frendama

    Kwanini ofisi ya DPP wanatuona Watanzania ni wajinga na Vilaza? Huyo mwizi kaibaje computer kwenye ulinzi wa CCTV na jeshi lenye SMG & AK47

    Utawala wa kishamba kweli..yaani unajiibia kiatu uku umekivaa then unapiga kelele umeibiwa! Anyway ndo laana za umwagaji damu zinavyokuwa,mwisho wake ni fedheha hapahapa duniani
  4. Frendama

    Kwanini ofisi ya DPP wanatuona Watanzania ni wajinga na Vilaza? Huyo mwizi kaibaje computer kwenye ulinzi wa CCTV na jeshi lenye SMG & AK47

    I second you...pia kuna taarifa manunuzi ya ovyo ya ndege,mradi wa umeme na walioiba nyaraka ni wale wale wasiojulikana na wamejua zilipohifadhiwa!DPP angejiudhuru tu maana kufanya kazi na mapanya buku segerea itamhusu tu baadae awaulize akina Mramba maana wakati ukifika hakuna atakaembeba tena
  5. Frendama

    Baada ya wananchi kugoma kujiandikisha wasimamizi waelekezwa kujaza majina hewa, lengo ni kutengeneza takwimu feki

    Hili tunalijua waache wateketeze hela za wananchi kwa uchaguzi hewa..mwisho wao umekaribia
  6. Frendama

    Watanzania milioni 19.9 wajiandikisha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    Upikaji data una mwisho...aibu kwa taifa
  7. Frendama

    Kompyuta Ofisi ya DPP zenye kesi za Uhujumu Uchumi zaibwa

    Utaelewa tu utakapoona jiwe yuko kimya
  8. Frendama

    Kompyuta Ofisi ya DPP zenye kesi za Uhujumu Uchumi zaibwa

    Jiwe anatafuta hela za uchaguzi..tumeshapigwa tena na uyu jamaa..ilikuwa manunuzi ya ndege,sgr,madini,miradi ya umeme nk na sasa hili la mafisadi kumlipa hela kwa kumtumia dpp..jamaa ni disaster!
  9. Frendama

    Kompyuta Ofisi ya DPP zenye kesi za Uhujumu Uchumi zaibwa

    Wasemaji hawa wanaoitwa vilaza na wapumbavu au kuna wengine?
  10. Frendama

    Kompyuta Ofisi ya DPP zenye kesi za Uhujumu Uchumi zaibwa

    Zitto I second you...jamaa wamejiibia kupoteza ushahidi ili wapige hela ,hela za uchaguzi zinatafutwa kwa nguvu
  11. Frendama

    Mama Salma Kikwete: Uchaguzi mkuu 2020 kura zote kwa Dk Magufuli na hatutaacha kata wala jimbo

    [QUOTE=@Uyu mama hajawahi kuwa na hoja ya maana,tangu Magu awepo madarakani ndio zimehama jumla..yaliyomkuta anajua yeye
  12. Frendama

    Tundu Lissu asisitiza kugombea urais

    Mbo Mbona sisi tunamuelewa sana,sayansi imethibitisha kuwa ukiona umuelewi mtu amabe dunia inamtambua kuwa na IQ kubwa ujue wewe una IQ below average
  13. Frendama

    Tundu Lissu asisitiza kugombea urais

    Wewe ndo haikumuelewa viziri..alisema atarudi nyumbani urais ni majaliwa kama chama chake kitamuhitaji,kuhusu usalama wake hakusema serikali ndo imhakikishie,kumuelewa genius inabidi utulie sana
  14. Frendama

    Makosa 10 aliyotenda Mungu

    Uko sahihi ila wengi hapa wanaongozwa na dogmatic tradition hawatakuelewa ni wazitto vichwani...hawataweza kujibu swali kuwa kwa nini Mungu aliamua kumtesa mwanae Yesu kwa kufa msalabani kwa ajili yetu wakati Yesu alikuwa uko juu anakula good times kwani Mungu hakuwa na njia nyingine mbadala ya...
  15. Frendama

    Hotuba za Rais Magufuli za kichwani zinakera, asome hotuba anayoandaliwa

    Jamani sio vizuri kumsakama mgonjwa wa ak...muacheni maana makosa yalikuwa yetu kumchagua
Back
Top Bottom