johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,852
- 141,786
First Lady mstaafu, Mama Salma Kikwete, amemhakikishia Rais Magufuli kuwa kura zote za uchaguzi kuanzia serikali za mitaa hadi ule mkuu kutoka Nachingwea zitaenda CCM.
Mama Salma amesema hayo wakati akiwasalimia wananchi wa Nachingwea baada ya kupewa fursa ya kusalimia na Rais Magufuli.
Rais Magufuli yuko ziarani mkoani Lindi akisikiliza kero mbalimbali za wananchi na kuwashukuru kwa kura nyingi walizompa 2015.
Chanzo: TBC
Mama Salma amesema hayo wakati akiwasalimia wananchi wa Nachingwea baada ya kupewa fursa ya kusalimia na Rais Magufuli.
Rais Magufuli yuko ziarani mkoani Lindi akisikiliza kero mbalimbali za wananchi na kuwashukuru kwa kura nyingi walizompa 2015.
Chanzo: TBC