Nina mashine ya Maxmalipo nilikuwa anaitumia tangu mwaka 2010 lakini baada ya hapo nikaiweka pending bila kutumia ila sasa nataka kuanza kuitumia inasumbua netweki naomba kuuliza Je! hawa jamaa wa maxmalipo bado wapo?
Namba zao nikipiga hazipokelewi je napataje msaada?
Njia hii mtu ambae hajui kingereza ni magifuli tu....jiulize tu ivi kuna mtu hapendi kutoka nje ya Tanzania hata kufanya survey tu lakini magu kwake fresh tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.