Recent content by Freesociety

  1. Freesociety

    Wanaume tuwe makini, Wizi wa sehemu za siri za kiume "Penis snatching" umeingia Tanzania

    Ndugu, mimi nipo bonde la ziwa Rukwa eneo la Kilyamatundu maarufu Kamsamba, haya mambo tulikua tunayasikia Tunduma kama siku 4 nyuma. Lakini jana tarehe 4 April limetokea eneo hili. Muhusika(mwizi wa nyeti) alipigwa mpaka kuchomwa moto. Usibishe bila uhakika. Uliza wenyeji.
  2. Freesociety

    Kifo ni kifo tu isiwe kauli ya kuwahukumu wanaCCM wote.

    Hahahaaaaa! Hii nyundo ni ya kg 20. Acha wapambane na hali zao. Kutesa kwa zamu.
  3. Freesociety

    Kama Mwanaume, omba Mungu sana usijejikuta kwenye Hali kama hii. Ni aibu isiyoelezeka

    Kichaa anachekesha akiwa hatoki kwenye familia yenu Jibu mujarabu kabisa
  4. Freesociety

    Simu ipi yenye camera nzuri?

    Duh! Anaichukuli poa hio chombo.
  5. Freesociety

    Simu ipi yenye camera nzuri?

    ?Miamba ho. Hakuna ubishi.
  6. Freesociety

    Kuna brand za nguo zilitikisa sana aisee!

    Ilikua jezi ya Fc Bayern Munchen.
Back
Top Bottom