Umenena kaka hao watoa mada wengne wapo kwa ushabiki tu, daah utashabikia vip yanayoendelea pale kwa bwana Netanyau kwa kuufanya Jerusalem kuwa mji mkuu wa Israel, hamujui kuwa kuna agenda za siri ambazo wao vichwan mwao wanazjua wenyew bas utakuwa hauna tofaut nao maana na wew utakuwa ni mmoja...
Daaah sjui niandikaje maana kla sku tumechoka kuona madudu ya nchi hii ya Tz, bas ngoja tu niende pale kwa Mama muuza mgahawa nikaangalie kama tayari ashapika supu maana nsije nkajikuta nmetukana bure.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.